Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi, Ally Hapi, ameutaka Mtandao wa vijana wa Kesho Yetu, Uzalendo Wetu na Utaifa (TK Movement), kutokatishwa tamaa na baadhi ya watu wasiopenda maendeleo ya serikali, badala yake wasonge mbele kulisemea taifa kwenye mambo mazuri linayofanya.
Hapi amesema hayo jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo ya vijana zaidi ya 600 wa mtandao wa TK Movement kutoka mikoa yote hapa nchini kujifunza kuhusu masuala ya ushiriki wa uchaguzi Mkuu.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amesema, vijana hao wasikubali kurudishwa nyuma katika kile ambacho wanakifanya ili kuhakikisha serikali inasikika kwa wananchi, kwa sababu hakuna jambo zuri linalofanywa bila ya kupata kikwazo kutoka kwa wengine.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amesema, vijana hao wasikubali kurudishwa nyuma katika kile ambacho wanakifanya ili kuhakikisha serikali inasikika kwa wananchi, kwa sababu hakuna jambo zuri linalofanywa bila ya kupata kikwazo kutoka kwa wengine.