Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
KWANINI HAMUWAKAMATI ILI BANANGA ARUDI CCMHa ha ha haaaaa
Abaki alipo kwasababu wauajo wapo nae huko huko.
Ni makarai tu wanaweza kuamini huu uongoMa CCM wanaotaka kuninunua, leo nataja gharama za kurudi CCM. Nionyesheni mliowatuma kumuuwa Mawazo, nitajiunga nanyi siku hiyo hiyo"
Mchechu tulimtahadharisha humu mapema sana kuhusiana na ccm , yaliyomkuta umeyaona , sasa hawa wakiwamaliza wapinzani mtaanza kuchinjwa nyinyi wachumia tumbo .Aache upuuzi huyo Banaga.
ukisoma aliosema huyo banaga halafu usiguswe na hisia za kibinadamu Basi wewe utakua umepitiliza kwenye uovu, you don't care, no remorseAache upuuzi huyo Banaga.
Duu..nilitegemea atatoa pole kwa vifo vya wanajeshi wetu...kumbe anaongelea mtu ambaye hata funza washapiga mswaki...
Endelea na ndoto zako. Siwezi kukukataza.Mchechu tulimtahadharisha humu mapema sana kuhusiana na ccm , yaliyomkuta umeyaona , sasa hawa wakiwamaliza wapinzani mtaanza kuchinjwa nyinyi wachumia tumbo .
Anayekula nyama ya mtu haachi - JK NYERERE
Ha ha ha haaaaa
Abaki alipo kwasababu wauaji wapo nae huko huko.
Demokrasia ni kurudi ccm pale unapodaiwa nhc,by aristotleAlbert Msando-Demokrasia ni haki ya mtu kuchagua ujinga, upumbavu au werevu.