Kocha anambakia nafasi isiyo yake. Acheze katikati #10 sio winga.
Huyu kocha alietukosesha robo final club bingwa asipotimuliwa wachezaji wengi wazuri watakuja wataonekana bure,na dogo kweli ataonekana bure. Kumbe kocha mfumo wake ni wa kujilinda tu.
Kenge zake huyu kocha