Allah Akbar??!!

Allah Akbar??!!

Status
Not open for further replies.

sokwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
2,022
Reaction score
1,062
Kila ninapotazama tv na kuona wapiganaji wa kislam ktk nchi mbali mbali Kama Syria,Pakistan,Afghanistan na kwingine wakitumia jina la mungu wakati wanapotumia bunduki na rpg kutoa roho za watu, kwann wanasema Allah Akbar? Kwan mungu wao ni wakutoa roho za watu?
 
Watanipiga bunduki siendi mkuu.
 
qumy3evu.jpg
 
Porn stars wengi utawasikia wanatamka' sweet jesus!' huku wamevaa misalaba wanafanya uzinzi!
 
Acha ushenzi mkuu!, umekosa mottion or?, make naona kama vile una............!!!, ishia hapohapo!, be care!
 
Wewe wakati unadhini, unaposema oh! my God, huwa inamaanisha Mungu wako ni Mzinifu!

mtoto wa kichaga akikukatikia mauno lazima amtaye Yesu, sijui anaingiaje hapo, au kwakuwa wanasema ni 'Bwana !' ??
 
Allah ni shetani,hvy usishangae kuona wakifanya hayo mambo! Allah ni aina ya madini yny rangi nyeusi, hvy ujue kuwa mambo yao ni ya giza kwn umeona wap bblia ikitumika kurogea ila q'uran kwa sana tu. Unachezea lugha ya msahafu!
 
Wamwaga acid wa zenji nao husema allahu akbar
 
Nafarijika sana, Tena sana. Nikikumbuka ile siku nilipotoka katika uislamu na kumpa Yesu Maisha yangu.

Imani ya kweli ya Mungu aliye hai. Mungu aliyekataza kuua ikiwa ni moja katika amri zake.

Nina amani sana, na najivunia imani yangu.
 
Wanapiga nyimbo Yesu nibebe na utamu wa Yesu ndani ya Bar, naona Huyo mungu wao anawahimiza ulevi !

Mbona mnatoka povu bila sababu! Tunajua kupiga nyimbo za injili bar ni makosa, au kumtaja Yesu kwenye zinaa ni makosa pia,
sasa tunataka mtuambie jamaa wanapotoa roho za watu na kusema allah akbar ni kweli mungu wenu ana support mauaji! Au ndio mnataka kutuaminisha kuwa ni sawa tu na kupiga gospel bar!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom