WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
- Thread starter
- #141
Bwana weh...
Hili ni jukwaa la mahaba....
kila kitu humu mahaba....
maumivu ya mahaba...
akina baba ni wabaya wa mahaba...
akina mama ndio hivyo tena na mahaba...
machungu tele juu ya mahaba...
na wa kulaumu ni akina baba...
basi tena ndio hivyo jibaba...[/QUOTE]
Hili shairi limetulia...ngoja nami nipange vina nitakujibu LOL