Dah, huyu muuzai balaa; ana hasira vibaya na wateja wake wakati huo hawezi kumarkate bidhaa zake! Ameshindwa kuweka aina ya simu alizonazo, picha, bei nk anataka kupigiwa simu kama vile yeye ndy ajenti pekee wa bb hapa bongo=KIMEO!:lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol: