GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,380
Hayo maumivu yanaanza kipindi jamaa anaingiza , au baada ya kumaliza sex kabisa.Inakuaje
Hayo maumivu yanaanza kipindi jamaa anaingiza , au baada ya kumaliza sex kabisa.Inakuaje
Ulete mrejeshoAsante..
Dawa yako ninayo njoo pmHi guys.. Sorry naomba ushauri..ninamiaka 21 but nikikutana kimwili na mpenz wang after sex napata maumivu sometimes yanachukua hata siku tano
Hiyo ni dyspareunia-yaani mtu unapata maumivu kabla/baada au hata wakati mnasex.After sex
Namshukuru Kwa ushaur wakoHiyo ni dyspareunia-yaani mtu unapata maumivu kabla/baada au hata wakati mnasex.
Reason zipo nyingi pengine jamaa ana tango kubwaa, au hakuandai vzr(leads to lack of lubrications),Pingine pia psychologically hauko vizuri.
Cha msingi muone daktari(ikiwezekana wa magojwa ya wanawak) atakutibu kulingana na cause.
Usihofu utapona ni tatizo la kawaida.
Nadhani anamaanisha et kuwa wewe ni mgeniCjakuelew.. Unamaanisha nn
Asante , Btw wewe ni mgeni humuNamshukuru Kwa ushaur wako
Ok karibu, vp unapaonaje humu ukilinganisha na social networks nyingine?Yaap coz Mara nying nilikuwa nasearch through Google xo today nimeona link nikalogin
😂😂Asante , Btw wewe ni mgeni humu
Wasiliana na mods la sivyo miaka ijayo hili kaburi litafufuliwa tu,tuombe uzimaPako Poa Sana indeed.. Nimepapnd Sana.. VP kunao uwezekano WA kufuta post?
😂😂wewe utakuwa unaelekea kuuelewa uziis that all about love..