Aliyotabiri Lusekelo mbona hatuoni dalili?

sambeke

JF-Expert Member
Nov 26, 2014
713
651
Wakuu,

Hivi ni lini watu watakufa wote waliomwandika vibaya kama alivyotabiri mtumishi wa 'mungu' Lusekelo maana siku zinaenda hata hatuoni dalili.
 
Haraka yakuulizia jambo lisilo la msingi mpaka unakosea kuandika. Eti Luselelo.
 
Naona km Bapa anaendekeza sana naona Afya inaporomoka mashavu yanamshuka
 
Sijasikia hata dalili za MTU kunusanusa kifo. Ila pombe Kali km viroba na chang'aa zimepigwa marufuku. Sijui atauza nini? Ila iko HV. Lusekelo ni noma,atabadilisha msemo aseme kwakuwa serikali imepiga marufuku uuzaji wa chang'aa haitakuwa na maana wale watu kufa wakati chang'aa Imepigwa marufuku. Atamuuzia nani? Mungu c mjinga.watashindanaaaaaa...........
 
Watu Fulani humu ndani mna penda kuongea vibaya kuhusu yule mchungaji....sijui mnajisikiaje?
Nakumbuka aliongelea kwa neno KAMA....ila akasema anamwachia Mungu yeye kasemehe
...sasa wabongo wameshikilia ile KAMA....
 
Alitengua utabiri na kusema amewasamehe baada ya kuona hatakufa mtu zaidi yake yeye mwenyewe.Eti alisema ubavu wa kuwaombea kifo anao ila kawasamehe bure.Nilicheka.
 
Back
Top Bottom