Aliyosema Kitila Mkumbo katika mahojiano TV-E

Aliyosema Kitila Mkumbo katika mahojiano TV-E

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,831
Mbunge wa Ubunge, Prof. Kitila Mkumbo amesema ni jambo la kawaida kwa kila awamu kutatua changamoto anazozikuta lakini huwa wanazitengeneza nyingine

Kwa awamu ya Rais Samia Suluhu, amesema ametatua changamoto ya kidiplomasia na uwekezaji. Pia hata kwenye masuala ya kisiasa kama ilivyoonekana hivi karibuni.
===
Mbunge wa Ubongo, Prof. Kitila Mkumbo ambaye ni mtaalamu na mdau wa elimu amesema elimu ya sasa inatengeneza wahitimu ambao hawawezi kutengeneza ajira na pia hawaajiriki

Aidha, elimu haitengenezi wahitimu wenye stadi za ufundi. Ametolea mfano wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam ilibidi watafutwe mafundi kutoka India.

Amesema ni muhimu kwa mwanafunzi kuwa na taaluma, maarifa ya msingi na stadi za kumfanya aishi ambazo ni stadi za Maisha kama ujasiriamali, ujuzi wa upishi nk. Ili muhitimu akikosa nafasi huko juu aweze kuishi
 
Mbunge wa Ubunge, Prof. Kitila Mkumbo amesema ni jambo la kawaida kwa kila awamu kutatua changamoto anazozikuta lakini huwa wanazitengeneza nyingine

Kwa awamu ya Rais Samia Suluhu, amesema ametatua changamoto ya kidiplomasia na uwekezaji. Pia hata kwenye masuala ya kisiasa kama ilivyoonekana hivi karibuni.
Prof.Aache kuongea mambo ambayo yatamharibia historia yake.kwa mfano angekaa kimya kingetokea nini.

Je tukimwambia athibitishe hizo changamoto zinazotengenezwa na mwenyekiti wake wa chama Taifa ataweza kutuambia?
 
Prof.Aache kuongea mambo ambayo yatamharibia historia yake.kwa mfano angekaa kimya kingetokea nini.

Je tukimwambia athibitishe hizo changamoto zinazotengenezwa na mwenyekiti wake wa chama Taifa ataweza kutuambia?
Uhuru wa kutoa maoni yake. Ukitaka mtafte yule ni mtu anaejua kujenga hoja vizuri tu
 
Shida ni kwamba mtu anahitimu PHD halafu anakosa kazi hivi inaingia akilini kweli??Yeye mwemyewe mkumbo ukimtoa serikalini hana cha kufanya na u profesa wake.Tatizo mnabebana sana vyuoni yani mtu anafanya masters lakini research full copy and paste Nnone sonse.
 
Mwoneeni huruma kitila vurugu zamkewe nyumbani zinamchosha kichwa mabint wandani mkewe anafukuza kilawiki nakuuguza mkwewake vurugu mechi home hanaraha
Dunia ya leo bado ni ya kuhangaika na mwanamke!!!? Teknolojia haijamsaidia!? Achana na anayezingua.... Mungu alipoweka wanawake wengi kuliko wanaume alikuwa na kusudi lake, alitaka wawe wakurekebishia ya kuchagua

Wapo wanawake decent chungu mzima angeweza kudownload mmoja akaendelea kufurahia maisha duniani
 
Hili ndilo tatizo la watu badala ya KUJADILI hoja wanamjadili mtu Uhuru wa maoni upo wapi tujifunze kujenga hoja ili siku moja tuwe na nchi yenye wachambuzi wazuri badala ya walalamikaji.
 
Ukweli NI kwamba professor amezungumza la msingi kuhusu mfumo wetu wa elimu NI majanga sana haituandai kujitegemea Sasa tunapowapata watu wakutuongoza katika hili tuwaunge mkonotuangalie wapi tulupokosea na tujirekebishe tutoke kwenye elimu ya kukaririsha watoto tuwajengee stadi za maisha wajitegemeee wasitegemee kuajiriwa
 
Dunia ya leo bado ni ya kuhangaika na mwanamke!!!? Teknolojia haijamsaidia!? Achana na anayezingua.... Mungu alipoweka wanawake wengi kuliko wanaume alikuwa na kusudi lake, alitaka wawe wakurekebishia ya kuchagua

Wapo wanawake decent chungu mzima angeweza kudownload mmoja akaendelea kufurahia maisha duniani
Chezea mke wa kichaga wewe
 
Back
Top Bottom