Tatizo ccm wali iba kura. Wamuulize Prof... Lipumba[/QUOT
UMEDANGANYWA HIVYO NA KWA AKILI YAKO FUPI UKAKUBALI MIAKA YOTE UTABAKI WAMEIBA KURA BADALA YA KUBORESHA SERA ZENU
Unaelewa kuwa kwa Sera hizo hizo za CUF mwaka 2005, CUF ilishinda uchaguzi wa Urais Zanzbar, na CCM pamoja na NEC wakabadilisha matokeo na kumpa Salimin Amour hali iliyo sababisha vurugu kubwa sana ZNZ.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
mbona alisema chedema itakamata dola kwenye uchaguzi wa 2010 na haikuwa?
Mbona alisema Chedema itakamata dola kwenye uchaguzi wa 2010 na haikuwa?
alisema mrema atakua rais mwaka 2000 na akazunguka nae kumfanyia kampeni,akaangukia pua.
Mbona alisema Chedema itakamata dola kwenye uchaguzi wa 2010 na haikuwa?
Mkuu, pata kipande hiki cha gazeti la kila wiki la nyakati hizo, ambalo Mhariri wake Mtendaji alikuwa Mwandishi nguli, Mayage S. Mayage:Mbona alisema umeme hautapita juu ya kanisa lake na umepita?
Samahani nikuulize swali la kizushi....
Kwani mwaka 2010 wewe ulipiga kura.
Unaweza kukubaliana na sisi kuwa kiuhalali CHADEMA ilishinda uchaguzi wa Urais, lakini CCM na NEC yao wakafanya njama na kumtangaza JK kuwa mshindi na ikiwa hata watoto wachanga wanajua kuwa DK Slaa alishinda uchaguzi ule.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Hapa ndipo tunapotofautina na wewe, huwezi kushinda uraisi halafu ukapata viti vya ubunge vichache kiasi hicho. Huko Zanzibar wanakadai Nec kuchakachua tunaona walau uwiyano wa viti vya ubunge ulivyo mdogo sana. Kuna baadhi ya majimbo CCM wabunge walipita bila kupingwa, kama tofauti ya wabunge ingekua kama ishilini hapo ningeweza kuamini kua Nec walichakachua siyo huu uwiano.
Tanganyika ambayo ccm inadai hakuna nchi hiyo kuna serekali ya Muungano funguka kijana acha kutetea ushetani unajua gharama itakayolipa kwa kubadilisha kanuni? Think before defending non senseBaada ya kushinda alikuwa rais wa nchi gani?
2015 ccm kwa heri penda msipende mmechokwa na wananchi hata barabara mnazotengeneza ni ili muweze kupitisha gar zenu bila shida saa ya hukumu yenu imefika najua muda si mrefu wengine mtavaa magwanda kiunafiki kwa aibu zenu. RIP ccm rise up ChademaUsijali Mizambwa, katiba mpya ikipatikana CCM na NEC hawatakuwa na nafasi tena ya kufanya ujanja ujanja. CCM itazikwa rasmi 2015
Mbona alisema Chedema itakamata dola kwenye uchaguzi wa 2010 na haikuwa?
Tatizo ccm wakishinda kwa kura za kuchakachua wanajiona wameshinda kweli