KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 4,598
- 4,197
RIP
If you’re a close family member or friend you would by now have known the cause. After all why do you want to know? How would you feel if it were your close kin?RIP......what is the cause of death...
Namfahamu sana jirani yangu pale Savei nn tena kimemtokea#TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Vunjo Kilimanjaro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) , Aloyce Kimaro amefariki dunia.View attachment 1435556
Mkuu ninishida mpka uchimbe ft 12Naomba wanipe jukumu la kuichimba kaburi yake ili niifikishe 12 feet down the ground
Alifanyiwa operation ya kichwa ndio imeleta kifo chake,alikua na tatizo la kuvia damu kichwa mda.R.I.P Mungu azidi kutupambania...Maana ni kwa rehema zake tu tunaweza survive hili
Hili swali ulitakiwa ulipeleke CHATOje habari za misiba zitawasaidia Chadema kupanda kisiasa?
Roho ya marehem ilale salama..AminaAlifanyiwa operation ya kichwa ndio imeleta kifo chake,alikua na tatizo la kuvia damu kichwa mda.
Hii taarifa nimepata toka kwa ndugu yake na maiti inasafirishwa kwenda kuzikiwa moshi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba wanipe jukumu la kuichimba kaburi yake ili niifikishe 12 feet down the ground
Naomba wanipe jukumu la kuichimba kaburi yake ili niifikishe 12 feet down the ground
Mzee baba kwa comments kama hizi ilikuwa muhimu uka reverse course. Kwa nini jiwe na watu wenye kukuombea dua mbaya hivi? Kumbuka umekuwa ukiwaomba watanzania wakuombee na baadhi ya sala ni kama hivi tena.
Kwa hakika haujawahi kuwa hivi kwa kiongozi yeyote au awamu yoyote katika historia ya taifa hili.
Ilikuwa vyema mzee baba ukajitathimni na kuchukua hatua.
Kagame, Museveni, Kenyatta na hata Nkurunziza wamechukua hatua zaidi ya hizi za kunawa nawa ili kuzuia mizunguko na mikusanyiko ya watu.
Nadhani mzee baba tatizo liko hapo kwenye kusikiliza naoni ya watu tu. Bila shaka ukirekebisha tu hilo, rais wa wanyonge kipenzi cha wengi utarejea kwenye ubora wako.
Mazishi watu Kumi tuu...sipati picha jiwe akikata moto utakavyofurahi.vipi utahudhuria mazishi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu dedi na wewe ili utujuze jibu la hili swali lako ukiwa jehanamje habari za misiba zitawasaidia Chadema kupanda kisiasa?