TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Aloyce Kimaro amefariki dunia

Naomba wanipe jukumu la kuichimba kaburi yake ili niifikishe 12 feet down the ground

Mzee baba kwa comments kama hizi ilikuwa muhimu uka reverse course. Kwa nini jiwe na watu wenye kukuombea dua mbaya hivi? Kumbuka umekuwa ukiwaomba watanzania wakuombee na baadhi ya sala ni kama hivi tena.

Kwa hakika haujawahi kuwa hivi kwa kiongozi yeyote au awamu yoyote katika historia ya taifa hili.

Ilikuwa vyema mzee baba ukajitathimni na kuchukua hatua.

Kagame, Museveni, Kenyatta na hata Nkurunziza wamechukua hatua zaidi ya hizi za kunawa nawa ili kuzuia mizunguko na mikusanyiko ya watu.

Nadhani mzee baba tatizo liko hapo kwenye kusikiliza naoni ya watu tu. Bila shaka ukirekebisha tu hilo, rais wa wanyonge kipenzi cha wengi utarejea kwenye ubora wako.
 
Nadhani ni vizuri huu ushauri ukaupeleka kwa hao viongozi....
Mzee baba kwa comments kama hizi ilikuwa muhimu uka reverse course. Kwa nini jiwe na watu wenye kukuombea dua mbaya hivi? Kumbuka umekuwa ukiwaomba watanzania wakuombee na baadhi ya sala ni kama hivi tena.

Kwa hakika haujawahi kuwa hivi kwa kiongozi yeyote au awamu yoyote katika historia ya taifa hili.

Ilikuwa vyema mzee baba ukajitathimni na kuchukua hatua.

Kagame, Museveni, Kenyatta na hata Nkurunziza wamechukua hatua zaidi ya hizi za kunawa nawa ili kuzuia mizunguko na mikusanyiko ya watu.

Nadhani mzee baba tatizo liko hapo kwenye kusikiliza naoni ya watu tu. Bila shaka ukirekebisha tu hilo, rais wa wanyonge kipenzi cha wengi utarejea kwenye ubora wako.
 
Back
Top Bottom