PreGE2025 Aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Kilimanjaro achukua fomu kugombea Ubunge Mbulu Vijijini

PreGE2025 Aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Kilimanjaro achukua fomu kugombea Ubunge Mbulu Vijijini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu,

Mchakato wa uchukuaji fomu unaendelea Huyu dada anaitwa Grace Saulo Mali yeye alishawahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Mkoa wa Kilimanjaro na pia alishawahi kuwania ubunge wa Bunge wa Bunge la Afrika kupitia CCM

Naona hata huko miandaoni pia ni maarufu sana.

Huyu ataweza kupambana na Flatei Massay kweli?

grae saulo.png
 
Wakuu,

Mchakato wa uchukuaji fomu unaendelea Huyu dada anaitwa Grace Saulo Mali yeye alishawahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Mkoa wa Kilimanjaro na pia alishawahi kuwania ubunge wa Bunge wa Bunge la Afrika kupitia CCM

Naona hata huko miandaoni pia ni maarufu sana.

Huyu ataweza kupambana na Flatei Massay kweli?

Kuna ka namna hapa😂
 
Back
Top Bottom