Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 10,427
- 17,744
Makafiri
tafsiri/maana ?
Makafiri
"Makafiri" ni neno la Kiswahili linalomaanisha "wasiamini" au "kafiri," ambalo linaweza kutumika kumaanisha mtu ambaye hana imani au anayekataa dini fulani, hasa katika muktadha wa Uislamu.tafsiri/maana ?
Mkuu uko sawa kabisa, sio mke tu mm hata demu nikimtongoza akinikataa nam block sitaki hata kumsikia..Ni Heri nikimbie nyumba yangu,kinaanze upya kuliko kuua.
Sababu mwanamke anachotaka ni kukuumiza kihisia,sasa ukiwa haupo unaumiaje?
Kaa mbali tu,anza upya Utakua na amani.
Ona mtoto nasikia alianza kukaa Sawa darasani na kiakili wanamtonesha tena.
Mapenzi yakiisha zibaki akili jamani.
Ushahidi🤔🤔Duh hakuzikwa?
"Makafiri" ni neno la Kiswahili linalomaanisha "wasiamini" au "kafiri," ambalo linaweza kutumika kumaanisha mtu ambaye hana imani au anayekataa dini fulani, hasa katika muktadha wa Uislamu.
Katika Kiarabu, neno hili linaweza kutafsiriwa kama "كافر" (kāfir), linalomaanisha mtu asiyekubali au asiyeamini katika Mungu au mafundisho ya dini fulani.
Ushahidi ulikuwa ukihitajika, jamaa alikuwa anakana shitaka na kudai mkewe ni suala la muda atapatikana alipojificha.Mimi sifikirii upuuzi wa huyo Jamaa maana anavuna alichopanda huku akimgharimu mtoto.
Nafikiria baada ya kujua kama jamaa kamuua na kumchoma basi walipaswa wafuate taratibu za mazishi.
Tena bila mtoto kujua.
Yanii kuwasononesha tuu...by the way wana mtoto mmoja tuuKuwasumbua watoto tu,walikua wapi muda wote huo baada ya jamaa kusema alimuua na kumchoma moto
"Makafiri" ni neno la Kiswahili linalomaanisha "wasiamini" au "kafiri," ambalo linaweza kutumika kumaanisha mtu ambaye hana imani au anayekataa dini fulani, hasa katika muktadha wa Uislamu.
Katika Kiarabu, neno hili linaweza kutafsiriwa kama "كافر" (kāfir), linalomaanisha mtu asiyekubali au asiyeamini katika Mungu au mafundisho ya dini fulani.