Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,184
- 3,577
Unazo weweHauna akili
Unazo weweHauna akili
Wewe lesbian hii mada aikuhusu ungekuwa unadinywa ungekipeleka kwa mme wa mtu halafu ndio utajua mtema kuni kilimpata niniUmpelekee ugali usiishie kumuita shujaa mitandaoni,
Stresses za ndoa zinawapeleka puta sana hadi mnajitoa thamani zenu.
Ni unafiki tu mzee hilo lipo wazi adhabu ya mgoni ni kifiro,kifo au kipigo kikali sasa sijui wanaishi Tanzania ipi ambayo wengine hatuijuiYani kuna mijitu inatetea upuuzi eti kaniliza mara sijui inahuzunisha
Mada inanihusu sababu aliyedhalilishwa ni binaadam kama mimi,Wewe lesbian hii mada aikuhusu ungekuwa unadinywa ungekipeleka kwa mme wa mtu halafu ndio utajua mtema kuni kilimpata nini
Sijaoa bado na nikioa atayekula mke wangu kifo na kifiro ni adhabu pekee anazostahili
Na bado jela inamuhusu900k ishamtoka mrs. vicent hapo
yaani hatari tupu,mapenzi haya mmhNa bado jela inamuhusu
😳Eeeeeh!wacha wee...Huyu mwanamke namfahamu alikuwa Arusha nilishachart nae sana ni muhuni tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Keshachelewa, anatafutwa na police popote alipokimbilia kwa sasaKesi ya kijinga kabisa, mkuu wa mkoa na hadhi yake tena akiwa na yeye ni mwanamke ameuvaa kabisa mkenge na kutamka kuwa walikuwa wanafanya biashara. biashara gani inafanyika chumbani kwa wanandoa wengine?
Hii imekaa vibaya na ni aibu mno kwa upande walioamua kuuchagua. Bora wangeyaacha yaishe kimya kimya.
Kwangu mimi ingekuwa ni vyema hao wanawake RC na huyo Kiria wangejaribu kwanza kuvaa viatu vya huyo mwalimu kabla ya kuamua kuchagua huo upande wa huyo muuza bar.
Atleast wangebalance pande zote mbili na kumuona Mwalimu Agnes kama binadamu mwingine yeyote hilo lingeweza kumfanya akafanya maamuzi yeyote ya hasira hata kupelekea kuua.
Mimi ningemshauri Mwalimu Agnes kama wameamua kumwaga mboga na yeye amwage ugali. Kama kweli alimkuta huyo mwanamke ndani kwake anaweza pia ku claim wizi umetokea ndani kwake. Vip naye akisema aliacha milioni 30 chumbani kwake alikomkuta huyo mwanamke na sasa hazipo?
Ona sasa kaliacha hai limeanza kumbambika makesi ya kipuuzi.Ni unafiki tu mzee hilo lipo wazi adhabu ya mgoni ni kifiro,kifo au kipigo kikali sasa sijui wanaishi Tanzania ipi ambayo wengine hatuijui
Tegesha mbunye utajua mi ni me au keMada inanihusu sababu aliyedhalilishwa ni binaadam kama mimi,
Sasa mkikaa kwenye vikao vyenu muambizane kua mkifumania mdeal na waume zenu lakini mkidhalilisha michepuko ya waume zenu mwisho wenu ni jela huku mnaziacha familia zenu katika hali mbaya,
Rejea kwa Agnes.
Kiukweli me mwenyewe baada ya kuangalia ile video nimemsikitikia sana huyu muhanga, eti anamwambia piga magoti nishike miguu yangu omba msamaha, shenzy kabisa ufuska wa mume wake hasira anahamisha kwa mwingine, yale yote alitakiwa ayafanye kwa mumewe, ampige Mumewe, amshikishe miguu yake Mumewe, lakini sio mchepuko.Yule sister aliekua natoa kipondo ana roho ngumu sana.. mimi na ugumu wangu huu siwezi kumpiga mtu aliekaa chini. Yaani nikikupiga ngumi ukianguka kama huna nia ya kusimama nakuacha hapo hapo siwezi kukuongeza nyingine. . Nitakuongeza kama una mpango wa kuendelea kupambana..
Sasa yule maza alikua yuko chini helpless lakini bado anapigwa. Aiseeh ule ni ukatili.
Na yule mpigaji kinachoenda kumkuta ni kibaya sana. Maana naona ameanza kupewa kesi za kumvamia mtu dukani kwake na kumpiga kisha kuchukua laki 9. Tayari anapewa kesi ya ujambazi.
Mola ndo lidudu gani?Haya ndio mawazo ya wauza madawa ya kulevya, roho mbaya, ukatili, kuua,
Mola awasamehe.
Wenyewe mnajiita 'wamama mijengo',Tegesha mbunye utajua mi ni me au ke
Unataka kuhalalisha ugoni kama ambavyo umehalalisha mapenzi ya jinsia moja kwako? wewe na mwanaharakati mwenzako Joyce mtulie
Hata akienda jela AGNES anabaki kuwa shujaa japo kafeli sehemu moja aliyemfumania anaendelea kupumua mpaka sasa
Na tutakula tigo na shingo za wagoni kwa sana hatutaacha
Wewe hujui nakwambia huzijui hasira.Kujichukulia sheria mkononi ni kosa la jinai,halafu unaanzaje kumpiga mwenzio kisa mwanaume ambaye mmejuana ukubwani?
Muwaadabishe waume zenu sio michepuko wa waume zenu, kwa mwendo huu mtajazana sana jela.Mola ndo lidudu gani?
Mimi ningemshika asingebaki haki naapa!
Hafungwi mtu hamna kesi hapo.Wenyewe mnajiita 'wamama mijengo',
Mnakuaga na hasira za mkizi
Ndoa zinawapeleka puta, Michepuko inawapeleka puta, Mikopo inawapeleka puta, hadi mawigi ya kichwani yanawapeleka puta.
Shujaa wako anaenda jela kukutana na mashujaa wenzie waunde kikundi cha ushujaa nyuma ya nondo.