AskariKanzu
Member
- Jul 25, 2025
- 38
- 146
Bob Marley anakuambia ya kwamba
"If she's amazing. She won't be easy
If she's easy, she won't be amazing
If she worth it, you won't give up
If you give up, you're not worthy.. Truth is
Everybody is going to hurt you, you just
Gotta find the ones worth suffering for.
Mwanamke huyu akataa pendekezo la ndoa kutoka kwa mwanaume mara 42 ndani ya miaka saba, lakini mwanaume hakukata tamaa leo kakubaliwa ikiwa ni mara ya 43.
Hongera kwako.. Kama watu wanastahiki tafadhari fanya kwa ajili yao.
Funzo katika hili : Siwezi kumtongoza mwanamke zaidi ya mara moja akikataa mara ya kwanza nakula buyu.
"If she's amazing. She won't be easy
If she's easy, she won't be amazing
If she worth it, you won't give up
If you give up, you're not worthy.. Truth is
Everybody is going to hurt you, you just
Gotta find the ones worth suffering for.
Mwanamke huyu akataa pendekezo la ndoa kutoka kwa mwanaume mara 42 ndani ya miaka saba, lakini mwanaume hakukata tamaa leo kakubaliwa ikiwa ni mara ya 43.
Hongera kwako.. Kama watu wanastahiki tafadhari fanya kwa ajili yao.
Funzo katika hili : Siwezi kumtongoza mwanamke zaidi ya mara moja akikataa mara ya kwanza nakula buyu.