leipzig
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 2,766
- 1,703
Uzi huu uachwe ujitegemee.
Kama sio uonevu kwa mwanafuunzi wa kike ni nini? anatiwa mimba na mwanafunzi, baba au kaka wa kufikia au mtu mwingine halafu jamii linamhukumu peke yake,inakuwaje?
Imefika sasa kama jamii na taifa kwa ujumla kutenda haki,aliyetendwa na aliyetenda wote wana makosa na wote wanastahili adhabu.
Tumeshuhudia mabinti wakitupa watoto,wakijiua na hata kuwatekeleza watoto wao kutokana na huu mfumo dume wa kutowawajibisha wanaume waliowatia mimba na hatimaye tunalaumu kuongezeka watoto wa mitaani.
Napendekeza ikithibitika mtoto wa shule ametiwa mimba basi aliyehusika awajibishwe na akigoma kufanya hivyo basi adhabu kali itolewe ikiwezekana ahasiwe.
Kama sio uonevu kwa mwanafuunzi wa kike ni nini? anatiwa mimba na mwanafunzi, baba au kaka wa kufikia au mtu mwingine halafu jamii linamhukumu peke yake,inakuwaje?
Imefika sasa kama jamii na taifa kwa ujumla kutenda haki,aliyetendwa na aliyetenda wote wana makosa na wote wanastahili adhabu.
Tumeshuhudia mabinti wakitupa watoto,wakijiua na hata kuwatekeleza watoto wao kutokana na huu mfumo dume wa kutowawajibisha wanaume waliowatia mimba na hatimaye tunalaumu kuongezeka watoto wa mitaani.
Napendekeza ikithibitika mtoto wa shule ametiwa mimba basi aliyehusika awajibishwe na akigoma kufanya hivyo basi adhabu kali itolewe ikiwezekana ahasiwe.