nassymuller
Member
- Jun 2, 2015
- 30
- 8
MGOMBEA Ubunge Jimbo la Ngorongoro Elias Ngorisa amechukua fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi-CCM kuteuliwa kuwania nafasi hiyo ambapo amesema lengo kuu kuwania nafasi hiyo ni kushirikiana na wana-ngorongoro katika kuwaletea maendeleo pamoja na kuwapambania Maslahi Yao Jimboni Humo.