Tetesi: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Serikali ya Awamu ya Tano Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga

Hii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Naona ana jipigia debe mwenyewe. Njaa mbaya sana
 
Hii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Hizo ni ndoto zako tu, Ila utakapo ona kuna choo mbele yako, amka usingizini, UTAJINYEA Bure.

Kituo kinachofuata kwa Makonda ni Jela tu, haijalishi miaka 5 au 20 mbele
 
Hii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Sawa ndio vizuri Ili Chadema wamuumbue
 
Kina Cha maji hakipimwi kwa kuingiza miguu, tutavuka mto tukiufikia, kwa Sasa hatutoi panga zetu kwenye ala.

Itakuwa blunder kubwa sana ambayo itaandamana na political risks, na sioni wa kubeba hilo zigo la misumari, walau kwa wakati huu.

Ni huyu mtu ambaye anatajwa kuwa Dodoma wakati Lissu akinyeshewa mvua ya risasi. Na ni mtu huyu, tangu nchi hii iumbwe, Yuko blacklisted asikanyage U.S.A kwa kudhulumu haki ya kuishi. Kudhulumu haki ya kuishi ni kwamba kwa mkono wake au Kwa maelekezo yake, aliuwa watanzania wenzetu iwe kwa mapanga, kwa risasi, au kuwanyonga, inawezekana walimlilia sana awaache au awasamehe, lakini akahakikisha wanakufa kifo Cha kikatili, bila fursa ya kuaga wapendwa wao, Wala kujulikana walipozikwa.

Ameshaonja damu ya binadamu, bila shaka atakuwa na kiu ya damu nyingine, ni ya nani Kati ya wa Tizee milioni 61?
Acha wivuuu, hiiii safu inasibiriwaa saaanaa saaana. Mimi maoni yangu makonda apewee dar kabisaaa
 
Hii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Muuaji mkubwa yule, alistahili kuwa kifungoni au kitanzini
 
Acha wivuuu, hiiii safu inasibiriwaa saaanaa saaana. Mimi maoni yangu makonda apewee dar kabisaaa
Landmines katika Siasa zake ni nyingi kuliko za Angola na Ukraine, atakayejaribu kutembea katika terrain ya Makonda, ajihesabu amekwisha.

Aliyetoa amri Lissu auwawe hayupo, ila aliyetekeleza yupo, na anasemwasemwa.

Ukijiunga naye, unakuwa umeunga mkono yaliyofanyika, na hata majadiliano ya CDM na CCM Yana haki ya kufa kuanzia tarehe ya uteuzi
 
Wana moto gani? Ni upuuzi mtupu. Wananchi wametoka kwenye dhiki waje wakahangaike na vurugu za za upinzani?.

Je unajua kwanini hata tozo na gharama kupanda sababu ya kuyumba uchumi wa dunia na hali ya hewa na corona wananchi hawakureact? Ni sababu tulitoka kwenye dhiki kuu ya miaka 6. Hakuna mtu ana hamu na wapinzani wasio na nia ya dhati na wanayosema.
Mkuu sina hakika sana kama unafikiri kwa kutumia kichwa, hivi wapinzani ndio wamereta utitiri wa tozo na hali ngumu ya maisha hata wachukiwe😵

Kwa taarifa yako hawa wapinza siyo kwamba ni vugu vugu tu hapana hawa ni moto tena siyo wa kubeza hususan chadema

Watu kama nyinyi ndio mlipa kichwa hayati akashindwa kujipanga kiushindani matokeo yake kwenye uchaguzi akaweka mpila kwapan yaan zake akawapa na zakwao akachukua yeye

Kiricho fatia wote tunajua walizaliwa viumbe wa ajabu yaan covd19 viumbe wasio na kwao ili tu liledubwana lipoe maisha yaendelee
 
Hii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.

Kwa alivyoichafua familia ya msoga kwa kusema kijana wake ni muuza gypsum powder kwa kweli hili nalipinga haitokei maana kwa sasa kj ndio mshauri mkuu wa mama kitu kama hili sahau
 
Hii ni habar mpya kabisa kijana mchapakazi paul makonda kwa taarifa zilizopo huenda akawa RC mkoa wa shinyanga, nadhani kijana huyu huenda anateuliwa kwa kuwa kunamaridhiano ya siasa na siasa za upinzani anazimudu ni kiongozi anayejuwa jinsi ya kucheza mpira na wapinzani.

Kama ni kweli namtakia kila la heri katika utumishi wake.
Kuna tetesi pia kuwa alishiriki kumpiga Lisu risasi ndiyo unasema kigezo kuwa aliziweza siasa za upinzani? Muulize Roma Mkatoliki alimficha wapi? akimpa U -RC, basi wapinzani wajue kuna jambo baya kwao linakuja. Nimemuonya Lisu asithubutu kuja huku!Rubbish!
 
Shinyanga nimemwomba mama anipe mimi nijitolee wala asihangaike kutafuta mtu wa kutafuna hela yetu. Mimi nitafanya kazi zote kwa kujitolea kwa kipindi cha miaka miwili!
 
Back
Top Bottom