Aliyekuwa mbunge wa Musoma Vijijini Charles Chinuno Magoti kuzikwa kesho

SubiriJibu

JF-Expert Member
Jun 26, 2009
1,803
1,863
Amefariki Jumatatu iliyopita. Leo zimetolewa heshima za mwisho nyumbani kwake,Mwisenge, Musoma. Kesho mazishi yanafanyika kijijini Seka, Majita, Musoma.

CV:
Amemaliza University of D'Salaam mwaka 1974. Amepata PhD yake jijini Hanover, Ujerumani, mwaka 1981.

Akiwa masomoni alirudi October 1980 kugombea ubunge kwenye jimbo la Musoma Mjini. Akashindwa na Herman Kirigini. Akarudi kuendelea na masomo yake.

Mwaka 1984 aliteuliwa kuwa mkuu wa chuo cha Reli, Tabora.

Novemba 1985 aligombea tena ubunge safari hii kwa jimbo la Musoma vijijini, akashinda. Hoja kubwa ilikuwa ni kwamba katika thesis yake ya PhD aliandika matatizo yanayohusu wilaya ya Musoma vijijini.

Tatizo aliloliona lilikuwa ni elimu katika wilaya hiyo, hivyo akajikita na elimu.

Kufikia mwaka 1987 akawa amefaulu kuanzisha Shule ye Sekondari ya Nyegina. Hakufanya kama viongozi wengine ambao wakianzisha shule wanaweka watoto wa wengine wao wanasoma shule zingine.

Yeye shule hizo akaweka watoto wake wasome. Watoto wake wawili wamesoma Nyegina Sekondari.

Mwaka 1990 akagombea na akashinda kwa mara ya pili hadi 1995.

Baada ya 1995 akateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Serengeti na baadaye Mugumu. Kuna Wilaya moja alipelekwa mkoa wa Arusha nimeisahau mnaokumbuka kumbusheni.

Baada ya hapo hakuteuliwa tena nafasi za kisiasa bali akakaa kwenye projects kadhaa huko Iringa na kwingine.

Ni mmoja wa watu ambao walikuwa na uadilifu wa hali ya juu lakini inashangaza mitandao kutomjua kabisa na kifo chake kinakaribia wiki sasa.

Mungu aiweke roho yake mahali pema.
 
OK! Huyu ndo alikuwa principle wa mwalimu nyerere memorial kigamboni kama 3 years imepita.
 
...
Amemaliza University of D'Salaam mwaka 1974. Amepata PhD yake jijini Hanover, Ujerumani, mwaka 1981.
....
Novemba 1985 aligombea tena ubunge safari hii kwa jimbo la Musoma vijijini, akashinda. Hoja kubwa ilikuwa ni kwamba katika thesis yake ya PhD aliandika matatizo yanayohusu wilaya ya Musoma vijijini.
...
RIP.
Ila hapo red na blue ni angalizo tu; hebu wataalamu wetu wanaoenda masomoni ng'ambo waje na vitu vya maana kama wachina walivyoweza "kuiba" utaalamu na teknolojia na kulipeleka taifa lao mbele level ya super power. Hivi kweli unaenda PhD Ujerumani thesis - matatizo ya Musoma Vijijini! Namna hii kama taifa tutatoboa kweli? I doubt!

Apumzike kwa amani.
 
RIP.
Ila hapo red na blue ni angalizo tu; hebu wataalamu wetu wanaoenda masomoni ng'ambo waje na vitu vya maana kama wachina walivyoweza "kuiba" utaalamu na teknolojia na kulipeleka taifa lao mbele level ya super power. Hivi kweli unaenda PhD Ujerumani thesis - matatizo ya Musoma Vijijini! Namna hii kama taifa tutatoboa kweli? I doubt!

Apumzike kwa amani.

Tatizo wataalam wakirudi nyumbani walikuwa wanapigwa vita saana na viongozi waliokuwepo madarakani by frustrating them kwani unakuta hao viongozi wana kisomo kidogo au wenye vyeti fake. Mfano kuna jamaa mmoja alirudi nyumbani 1998 baada ya PhD yake kule Canada ya civil engineering viongozi wali dump kwenye offisi moja iliyokuwa karibu na Secondary ya Forodhani nyumba ya St joseph Cathedral! jamaa alikaa kwa muda mfupi akarudi Canada na sasa ni Professor wa fani hiyo!!!!! Huu ni mfano tu, wapo wengi. Labda sasa tumtegemea Rais Dr Magufuli ambaye mimi ninafananisha na Mwl Nyerere I mean he is Nyerere II tunaomba Mungu atupatie pia Eddy Sokoine II.
 
Tatizo wataalam wakirudi nyumbani walikuwa wanapigwa vita saana na viongozi waliokuwepo madarakani by frustrating them kwani unakuta hao viongozi wana kisomo kidogo au wenye vyeti fake. Mfano kuna jamaa mmoja alirudi nyumbani 1998 baada ya PhD yake kule Canada ya civil engineering viongozi wali dump kwenye offisi moja iliyokuwa karibu na Secondary ya Forodhani nyumba ya St joseph Cathedral! jamaa alikaa kwa muda mfupi akarudi Canada na sasa ni Professor wa fani hiyo!!!!! Huu ni mfano tu, wapo wengi. Labda sasa tumtegemea Rais Dr Magufuli ambaye mimi ninafananisha na Mwl Nyerere I mean he is Nyerere IItunaomba Mungu atupatie pia Eddy Sokoine II.
Watu mna mijiroho ajabu, kweli taifa hili limejaa mazwazwa kweli kweli
 
Tatizo wataalam wakirudi nyumbani walikuwa wanapigwa vita saana na viongozi waliokuwepo madarakani by frustrating them kwani unakuta hao viongozi wana kisomo kidogo au wenye vyeti fake. Mfano kuna jamaa mmoja alirudi nyumbani 1998 baada ya PhD yake kule Canada ya civil engineering viongozi wali dump kwenye offisi moja iliyokuwa karibu na Secondary ya Forodhani nyumba ya St joseph Cathedral! jamaa alikaa kwa muda mfupi akarudi Canada na sasa ni Professor wa fani hiyo!!!!! Huu ni mfano tu, wapo wengi. Labda sasa tumtegemea Rais Dr Magufuli ambaye mimi ninafananisha na Mwl Nyerere I mean he is Nyerere II tunaomba Mungu atupatie pia Eddy Sokoine II.
Mkuu unaongeza contradiction; tumehabarishwa PhD yake kamaliza 1981 - enzi za Nyerere halafu hapo hapo unawalaumu viongozi waliokuwepo kwa kutowathamini wasomi na wakati huo huo unamsifu Nyerere! Nashindwa kukuelewa. Potelea mbali, hoja yangu haikuwa hiyo bali alikosomea Vs thesis yake. Nilitegemea msomi ngazi ya PhD aliyosomea Ulaya aje na vitu vya maana vya kulisaidia taifa na nimetoa mfano wa China.
 
RIP.
Ila hapo red na blue ni angalizo tu; hebu wataalamu wetu wanaoenda masomoni ng'ambo waje na vitu vya maana kama wachina walivyoweza "kuiba" utaalamu na teknolojia na kulipeleka taifa lao mbele level ya super power. Hivi kweli unaenda PhD Ujerumani thesis - matatizo ya Musoma Vijijini! Namna hii kama taifa tutatoboa kweli? I doubt!

Apumzike kwa amani.

Matatizo ya msoma yenyewe mpaka sasa yapo yale yale ya miaka ya kabla uhuru,

Bora hata yangekuwa yanatatulika basi

Tatizo wataalam wakirudi nyumbani walikuwa wanapigwa vita saana na viongozi waliokuwepo madarakani by frustrating them kwani unakuta hao viongozi wana kisomo kidogo au wenye vyeti fake. Mfano kuna jamaa mmoja alirudi nyumbani 1998 baada ya PhD yake kule Canada ya civil engineering viongozi wali dump kwenye offisi moja iliyokuwa karibu na Secondary ya Forodhani nyumba ya St joseph Cathedral! jamaa alikaa kwa muda mfupi akarudi Canada na sasa ni Professor wa fani hiyo!!!!! Huu ni mfano tu, wapo wengi. Labda sasa tumtegemea Rais Dr Magufuli ambaye mimi ninafananisha na Mwl Nyerere I mean he is Nyerere II tunaomba Mungu atupatie pia Eddy Sokoine II.

Let me guess,

Wewe ni mwalimu wa shule ya msingi mzee unastaafu mwaka 2019,
 
Tatizo wataalam wakirudi nyumbani walikuwa wanapigwa vita saana na viongozi waliokuwepo madarakani by frustrating them kwani unakuta hao viongozi wana kisomo kidogo au wenye vyeti fake. Mfano kuna jamaa mmoja alirudi nyumbani 1998 baada ya PhD yake kule Canada ya civil engineering viongozi wali dump kwenye offisi moja iliyokuwa karibu na Secondary ya Forodhani nyumba ya St joseph Cathedral! jamaa alikaa kwa muda mfupi akarudi Canada na sasa ni Professor wa fani hiyo!!!!! Huu ni mfano tu, wapo wengi. Labda sasa tumtegemea Rais Dr Magufuli ambaye mimi ninafananisha na Mwl Nyerere I mean he is Nyerere II tunaomba Mungu atupatie pia Eddy Sokoine II.
Usimfananishe Nyerere na watu wa ajabu ajabu!
 
Pumzika kwa amani mzee magoti,wengi tumefaidi matunda yako ya kuwa muanzilishi wa nyegina sekondari ambapo mimi pia nimesoma hapo o-level.
 
Amefariki Jumatatu iliyopita. Leo zimetolewa heshima za mwisho nyumbani kwake,Mwisenge, Musoma. Kesho mazishi yanafanyika kijijini Seka, Majita, Musoma.

CV:
Amemaliza University of D'Salaam mwaka 1974. Amepata PhD yake jijini Hanover, Ujerumani, mwaka 1981.

Akiwa masomoni alirudi October 1980 kugombea ubunge kwenye jimbo la Musoma Mjini. Akashindwa na Herman Kirigini. Akarudi kuendelea na masomo yake.

Mwaka 1984 aliteuliwa kuwa mkuu wa chuo cha Reli, Tabora.

Novemba 1985 aligombea tena ubunge safari hii kwa jimbo la Musoma vijijini, akashinda. Hoja kubwa ilikuwa ni kwamba katika thesis yake ya PhD aliandika matatizo yanayohusu wilaya ya Musoma vijijini.

Tatizo aliloliona lilikuwa ni elimu katika wilaya hiyo, hivyo akajikita na elimu.

Kufikia mwaka 1987 akawa amefaulu kuanzisha Shule ye Sekondari ya Nyegina. Hakufanya kama viongozi wengine ambao wakianzisha shule wanaweka watoto wa wengine wao wanasoma shule zingine.

Yeye shule hizo akaweka watoto wake wasome. Watoto wake wawili wamesoma Nyegina Sekondari.

Mwaka 1990 akagombea na akashinda kwa mara ya pili hadi 1995.

Baada ya 1995 akateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Serengeti na baadaye Mugumu. Kuna Wilaya moja alipelekwa mkoa wa Arusha nimeisahau mnaokumbuka kumbusheni.

Baada ya hapo hakuteuliwa tena nafasi za kisiasa bali akakaa kwenye projects kadhaa huko Iringa na kwingine.

Ni mmoja wa watu ambao walikuwa na uadilifu wa hali ya juu lakini inashangaza mitandao kutomjua kabisa na kifo chake kinakaribia wiki sasa.

Mungu aiweke roho yake mahali pema.

Mkuu Makao makuu ya Wilaya ya Serengeti ndio Mugumu. Hivyo rekebisha katika huo wasifu wa Marehemu. Na kwa taarifa tu, Bunda ilikuwa ni sehemu ya Wilaya ya Serengeti hadi 1978 au 1979 ndipo ikazinduliwa kuwa Wilaya na Hayati Edward Sokoine.
 
Amefariki Jumatatu iliyopita. Leo zimetolewa heshima za mwisho nyumbani kwake,Mwisenge, Musoma. Kesho mazishi yanafanyika kijijini Seka, Majita, Musoma.

CV:
Amemaliza University of D'Salaam mwaka 1974. Amepata PhD yake jijini Hanover, Ujer
na waote
Akiwa maso0 kugombea ubunge kwenye jimbo la Musoma Mjini. Akashindwa na Herman Kirigini. Akarudi kuendelea na masomo yake.

Mwaka 1984 aliteuliwa kuwa mkuu wa chuo cha Reli, Tabora.

Novemba 1985 aligombea tena ubunge safari hii kwa jimbo la Musoma vijijini, akashinda. Hoja kubwa ilikuwa ni kwamba katika thesis yake ya PhD aliandika matatizo yanayohusu wilaya ya Musoma vijijini.

Tatizo aliloliona lilikuwa ni elimu katika wilaya hiyo, hivyo akajikita na elimu.

Kufikia mwaka 1987 akawa amefaulu kuanzisha Shule ye Sekondari ya Nyegina. Hakufanya kama viongozi wengine ambao wakianzisha shule wanaweka watoto wa wengine wao wanasoma shule zingine.

Yeye shule hizo akaweka watoto wake wasome. Watoto wake wawili wamesoma Nyegina Sekondari.

Mwaka 1990 akagombea na akashinda kwa mara ya pili hadi 1995.

Baada ya 1995 akateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Serengeti na baadaye Mugumu. Kuna Wilaya moja alipelekwa mkoa wa Arusha nimeisahau mnaokumbuka kumbusheni.

Baada ya hapo hakuteuliwa tena nafasi za kisiasa bali akakaa kwenye projects kadhaa huko Iringa na kwingine.

Ni mmoja wa watu ambao walikuwa na uadilifu wa hali ya juu lakini inashangaza mitandao kutomjua kabisa na kifo chake kinakaribia wiki sasa.

Mungu aiweke roho yake mahali pema.
R.I.P MAREHEMU MZEECMAGOTI
Amefariki Jumatatu iliyopita. Leo zimetolewa heshima za mwisho nyumbani kwake,Mwisenge, Musoma. Kesho mazishi yanafanyika kijijini Seka, Majita, Musoma.

CV:
Amemaliza University of D'Salaam mwaka 1974. Amepata PhD yake jijini Hanover, Ujerumani, mwaka 1981.

Akiwa masomoni alirudi October 1980 kugombea ubunge kwenye jimbo la Musoma Mjini. Akashindwa na Herman Kirigini. Akarudi kuendelea na masomo yake.

Mwaka 1984 aliteuliwa kuwa mkuu wa chuo cha Reli, Tabora.

Novemba 1985 aligombea tena ubunge safari hii kwa jimbo la Musoma vijijini, akashinda. Hoja kubwa ilikuwa ni kwamba katika thesis yake ya PhD aliandika matatizo yanayohusu wilaya ya Musoma vijijini.

Tatizo aliloliona lilikuwa ni elimu katika wilaya hiyo, hivyo akajikita na elimu.

Kufikia mwaka 1987 akawa amefaulu kuanzisha Shule ye Sekondari ya Nyegina. Hakufanya kama viongozi wengine ambao wakianzisha shule wanaweka watoto wa wengine wao wanasoma shule zingine.

Yeye shule hizo akaweka watoto wake wasome. Watoto wake wawili wamesoma Nyegina Sekondari.

Mwaka 1990 akagombea na akashinda kwa mara ya pili hadi 1995.

Baada ya 1995 akateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Serengeti na baadaye Mugumu. Kuna Wilaya moja alipelekwa mkoa wa Arusha nimeisahau mnaokumbuka kumbusheni.

Baada ya hapo hakuteuliwa tena nafasi za kisiasa bali akakaa kwenye projects kadhaa huko Iringa na kwingine.

Ni mmoja wa watu ambao walikuwa na uadilifu wa hali ya juu lakini inashangaza mitandao kutomjua kabisa na kifo chake kinakaribia wiki sasa.

Mungu aiweke roho yake mahali pema.
R.I.P MZEE MAGOTI. WATU WA MAJITA KUANZI BUSEKELA, KURUGEE ! MURANGI BUGWEMA MPAKA SEKA POLENI NA MSIBA HUU
 
Mkuu Makao makuu ya Wilaya ya Serengeti ndio Mugumu. Hivyo rekebisha katika huo wasifu wa Marehemu. Na kwa taarifa tu, Bunda ilikuwa ni sehemu ya Wilaya ya Serengeti hadi 1978 au 1979 ndipo ikazinduliwa kuwa Wilaya na Hayati Edward Sokoine.

Mkuu nimekubali rekebisho lako.
 
Hapana yule alikuwa ni Dr. Jonh Magoti

Nakumbuka confusion ya majina yao ilitokea hata kwenye uchaguzi wa 1985 kwa sababu wote wawili waligombea ubunge wa Musoma vijinini.

Huyu yeye anaitwa Charles Magoti, sasa mwenzake naye akaja na jina John Magoti. Charles akaona hiyo itakuwa taab maana yeye anafahamika zaidi kuliko John na watu wa vijijini wanaweza kuchanganya jina Magoti wakampigi John badala ya Charles.

Hivyo, CHarles akaigundua hiyo mbinu akaongeza jina ambalo halifahamiki sana yaani Chinuno ambalo lina maana fulani ya kijita.

Hivyo, kwenye kampeni akasisitiza sana watu washike jina Chinuno zaidi kuliko Magoti. Hata hivyo siku ya kupiga kura wengine jina Chinuno wakawa wamelisahau hivyo lakini sura yake amevaa miwani ikamsaidia maana wajita walikuwa wanauli "eswe echenda o wa malole" yaani tunataka yule mwenye miwani, ambaye ni Charles Magoti na siyo John Magoti.

Hivyo wakawa wanaulizana, utampigia nani wanasema "o wa malole" yaani mwenye miwani.

Na kweli ikawa hivyo na Charles Chinuno Magoti akashinda ubunge, enzi hizi ni CCM watupu na kuhonga ilikuwa ni vigumu.
 
Back
Top Bottom