GE2025 Aliyekuwa Kamishna wa Jeshi la Polisi, Jamal Rwambow ajiunga na ACT Wazalendo

GE2025 Aliyekuwa Kamishna wa Jeshi la Polisi, Jamal Rwambow ajiunga na ACT Wazalendo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,304
Reaction score
271,568
Mara nyingi wanaotoka huko wakiingia upinzani wanashughulikiwa, Mifano ni mingi mno, Wako walioshushwa kwenye Magari na kutobolewa macho.
===================
Aliyekuwa Kamishna wa Jeshi la Polisi, Jamal Rwambow leo Jumanne Agosti 5, 2025, amejiunga na Chama cha ACT Wazalendo. Rwambo amekabidhiwa kadi yake ya uanachama na Kiongozi wa chama, Dorothy Semu.

Screenshot_2025-08-05-18-39-09-1.png


Labda uhamisho wake uwe wa Mchongo, kwa vile chama alichohamia kimekula kolabo.

Tuendelee kusubiri.
 
Mara nyingi wanaotoka huko wakiingia upinzani wanashughulikiwa, Mifano ni mingi mno, Wako walioshushwa kwenye Magari na kutobolewa macho.

View attachment 3432655

Labda uhamisho wake uwe wa Mchongo, kwa vile chama alichohamia kimekula kolabo.

Tuendelee kusubiri.
Ni vizuri uweke na wasifu wake hapa
 
Mara nyingi wanaotoka huko wakiingia upinzani wanashughulikiwa, Mifano ni mingi mno, Wako walioshushwa kwenye Magari na kutobolewa macho.
===================
Aliyekuwa Kamishna wa Jeshi la Polisi, Jamal Rwambow leo Jumanne Agosti 5, 2025, amejiunga na Chama cha ACT Wazalendo. Rwambo amekabidhiwa kadi yake ya uanachama na Kiongozi wa chama, Dorothy Semu.

View attachment 3432655

Labda uhamisho wake uwe wa Mchongo, kwa vile chama alichohamia kimekula kolabo.

Tuendelee kusubiri.
Huyu ni project ya ccm
 
Mara nyingi wanaotoka huko wakiingia upinzani wanashughulikiwa, Mifano ni mingi mno, Wako walioshushwa kwenye Magari na kutobolewa macho.
===================
Aliyekuwa Kamishna wa Jeshi la Polisi, Jamal Rwambow leo Jumanne Agosti 5, 2025, amejiunga na Chama cha ACT Wazalendo. Rwambo amekabidhiwa kadi yake ya uanachama na Kiongozi wa chama, Dorothy Semu.

View attachment 3432655

Labda uhamisho wake uwe wa Mchongo, kwa vile chama alichohamia kimekula kolabo.

Tuendelee kusubiri.o
Isiwe tu kajiuinga baada ya uamuzi wa. Mpini tu?,
 
Mara nyingi wanaotoka huko wakiingia upinzani wanashughulikiwa, Mifano ni mingi mno, Wako walioshushwa kwenye Magari na kutobolewa macho.
===================
Aliyekuwa Kamishna wa Jeshi la Polisi, Jamal Rwambow leo Jumanne Agosti 5, 2025, amejiunga na Chama cha ACT Wazalendo. Rwambo amekabidhiwa kadi yake ya uanachama na Kiongozi wa chama, Dorothy Semu.

View attachment 3432655

Labda uhamisho wake uwe wa Mchongo, kwa vile chama alichohamia kimekula kolabo.

Tuendelee kusubiri.
Kazi maalumu!
 
Mara nyingi wanaotoka huko wakiingia upinzani wanashughulikiwa, Mifano ni mingi mno, Wako walioshushwa kwenye Magari na kutobolewa macho.
===================
Aliyekuwa Kamishna wa Jeshi la Polisi, Jamal Rwambow leo Jumanne Agosti 5, 2025, amejiunga na Chama cha ACT Wazalendo. Rwambo amekabidhiwa kadi yake ya uanachama na Kiongozi wa chama, Dorothy Semu.

View attachment 3432655

Labda uhamisho wake uwe wa Mchongo, kwa vile chama alichohamia kimekula kolabo.

Tuendelee kusubiri.
Huyu naye anaweza kuwa chapa ya jogoo
 
Back
Top Bottom