Aliyekosa mkopo anapewa meal and accomodation allowance?

Aliyekosa mkopo anapewa meal and accomodation allowance?

Kibuja

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2009
Posts
510
Reaction score
90
Wana jf kuna ndugu yangu amekosa mkopo wa kusoma chuo kwa 2014/2015. Ina maana hatapewa pia meal and accomodation allowance? Msaada tafadhali
 
Ukipewa 0% Utakosa ada lakini boom unapata lakini kama umekosa kabisa mkopo yaani hata kwenye lkst haupo wala usitegemee boom wewe jiandae kujigharamia kwa kila kitu. Poleni..........
 
Samahani jmn kama. Umepewa hata 0% utaijuaje na ikiwa umeandikiw you are not secure for loan...coz mwaka huu sijaona asilimia...
 
Nashukuru. Kwakuwa hayupo hata kwenye listi hivyo ni maumivu😥😰😤labda ajaribu ku appeal huenda akabahatika
 
Samahani jmn kama. Umepewa hata 0% utaijuaje na ikiwa umeandikiw you are not secure for loan...coz mwaka huu sijaona asilimia...
Hata mimi sijaona % lakini ndugu yangu hata kwenye listi hayumo hivyo ni shida
 
Hapati kitu hapo

Duh!!! Hii ni hatari sijui wanatumia vigezo gani kutoa mikopo maana kama shule kasoma ya serikali na ana division II na ni mwanamke huenda angechaguliwa education angepata mkopo
 
Wana jf kuna ndugu yangu amekosa mkopo wa kusoma chuo kwa 2014/2015. Ina maana hatapewa pia meal and accomodation allowance? Msaada tafadhali
yake ya

weka index number ya "O" level uone kama amepata au la - fanya fasta. usisahau mwaka alomaliza hiyo "O" level
 
Nisaidie hii s3228/0123/2011

The student with Index number 'S3228.0123.2011' did not secure a higher education loan for 2014/15 academic year.

hapo mzazi au sponsor inabidi agharimie kila kitu au la kata rufaa (appeal heslb)
 
Samahani jmn kama. Umepewa hata 0% utaijuaje na ikiwa umeandikiw you are not secure for loan...coz mwaka huu sijaona asilimia...

yaani jina likiwepo na kwenywe tuition fee ikasoma 0 maana yake ndo unaasilimia 0 so vtu vngne utalipiwa.isipokua adda tu.

no kama ukiambiwa not secured means haupo kabisa na hutogharamikiwa chochote
 
jamaa hawaangalii una dvsn gani,swala ni kwamba unasoma coz gani na Je hali ya familia yko ipoje
Unawezakua na one ya saba fm4 plus one ya tatu fm6 nabado usipewe,hutakiwi kupanik just cool down
 
yake ya

weka index number ya "O" level uone kama amepata au la - fanya fasta. usisahau mwaka alomaliza hiyo "O" level
Nime search na matokeo ni kuwa hajapata mkopo
 
Back
Top Bottom