johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,155
- 142,247
Kuna tofauti kubwa kati ya dunia ya kwanza na hii yetu ya third.
Wakati askofu Gwajima akiitwa kwenye tume za maadili za bunge na CCM na kuadhibiwa kwa kuhoji umadhubuti wa chanjo wenzetu kule Marekani ni tofauti kabisa.
Mwanamuziki Minaj baada ya kugomea chanjo kutokana na ushuhuda wa ndugu yake kuvimba korodani baada ya kuchanjwa, Serikali ya nchi yake ya Marekani imemualika Ikulu ili akaelimishwe kwa upana kuhusiana na chanjo ya covid 19.
Mungu ni mwema wakati wote!
Wakati askofu Gwajima akiitwa kwenye tume za maadili za bunge na CCM na kuadhibiwa kwa kuhoji umadhubuti wa chanjo wenzetu kule Marekani ni tofauti kabisa.
Mwanamuziki Minaj baada ya kugomea chanjo kutokana na ushuhuda wa ndugu yake kuvimba korodani baada ya kuchanjwa, Serikali ya nchi yake ya Marekani imemualika Ikulu ili akaelimishwe kwa upana kuhusiana na chanjo ya covid 19.
Mungu ni mwema wakati wote!