Siku chache baada ya kuwataja #LilWayne na #Eminem kuwa ndio 'Rappers' wakali wa muda wote (GOAT), Tyga ameamua kumpa Nicki Maua yake na kueleza kuwa hakuna Rapa mwingine wa kike anayemkaribia.
#Tyga ambaye amewahi kuwa chini ya Label Young Money pamoja na Nicki, amesema rapa huyo anajua...
Siku chache baada ya kuachia ngoma mpya ya “Red Ruby Da Sleeze”, Rapa huyo kutoka Marekani ameweka wazi ujio wa Label kupitia #QueenRadio inayoruka kupitia Amazon Amp.
Amesema Lable hiyo itakuwa chini ya #RepublicRecords na tayari amewasaini wasanii chipukizi ambao ni London Hill, Tate Kobang...
Kuna tofauti kubwa kati ya dunia ya kwanza na hii yetu ya third.
Wakati askofu Gwajima akiitwa kwenye tume za maadili za bunge na CCM na kuadhibiwa kwa kuhoji umadhubuti wa chanjo wenzetu kule Marekani ni tofauti kabisa.
Mwanamuziki Minaj baada ya kugomea chanjo kutokana na ushuhuda wa ndugu...
Nicki Minaj alizua dhoruba ya media ya kijamii Jumatatu usiku baada ya yeye kutuma twiti juu ya kusita kwa binamu yake kupata chanjo dhidi ya coronavirus, akitoa maoni kadhaa kwamba alikuwa akieneza habari potofu ya coronavirus.
Minaj alituma twiti kuwa binamu yake huko Trinidad, ambapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.