nicki minaj

  1. BARD AI

    Tyga amtaja Nicki Minaj kuwa Rapa Bora wa Kike wa Muda Wote!

    Siku chache baada ya kuwataja #LilWayne na #Eminem kuwa ndio 'Rappers' wakali wa muda wote (GOAT), Tyga ameamua kumpa Nicki Maua yake na kueleza kuwa hakuna Rapa mwingine wa kike anayemkaribia. #Tyga ambaye amewahi kuwa chini ya Label Young Money pamoja na Nicki, amesema rapa huyo anajua...
  2. BARD AI

    Nicki Minaj aanzisha Record Label yake, amsaini msanii kutoka Ghana

    Siku chache baada ya kuachia ngoma mpya ya “Red Ruby Da Sleeze”, Rapa huyo kutoka Marekani ameweka wazi ujio wa Label kupitia #QueenRadio inayoruka kupitia Amazon Amp. Amesema Lable hiyo itakuwa chini ya #RepublicRecords na tayari amewasaini wasanii chipukizi ambao ni London Hill, Tate Kobang...
  3. J

    #COVID19 Aliyekataa chanjo Marekani aitwa Ikulu kuelimishwa umuhimu wa chanjo lakini Tanzania askofu Gwajima aliitwa Tume ya Maadili kukemewa

    Kuna tofauti kubwa kati ya dunia ya kwanza na hii yetu ya third. Wakati askofu Gwajima akiitwa kwenye tume za maadili za bunge na CCM na kuadhibiwa kwa kuhoji umadhubuti wa chanjo wenzetu kule Marekani ni tofauti kabisa. Mwanamuziki Minaj baada ya kugomea chanjo kutokana na ushuhuda wa ndugu...
  4. MTAZAMO

    #COVID19 Nicki Minaj Azua Sokomoko juu ya chanjo za Uviko19

    Nicki Minaj alizua dhoruba ya media ya kijamii Jumatatu usiku baada ya yeye kutuma twiti juu ya kusita kwa binamu yake kupata chanjo dhidi ya coronavirus, akitoa maoni kadhaa kwamba alikuwa akieneza habari potofu ya coronavirus. Minaj alituma twiti kuwa binamu yake huko Trinidad, ambapo...
Back
Top Bottom