KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,243
- 5,000
Mimi ni mwana yanga damdam lakin kwenye huku usajili naona kama tumepigwa na kitu kizito na sielewi Mudathir alikuwa ana uhitaji gani na naenda kumchukua nafasi ya nani au ndo yale ya kina Ngushi.
Huenda Wana maana yao Ila Acha tuone walikuwa wanalenga nini...
Huenda Wana maana yao Ila Acha tuone walikuwa wanalenga nini...