Aliyechora ramani ya dunia msaada

Hapo ndo utajua wazungu sio wenzetu ila tu ramani ya dunia haikuchorwa siku moja imechorwa miaka mingi tena na watu tofautitofauti. walitumia vitu vingi zikiwemo kamera zenye uwezo mkubwa kutoka kwenye sattelites zilizoko juu angani.
 
Hapo ndo utajua wazungu sio wenzetu ila tu ramani ya dunia haikuchorwa siku moja imechorwa miaka mingi tena na watu tofautitofauti. walitumia vitu vingi zikiwemo kamera zenye uwezo mkubwa kutoka kwenye sattelites zilizoko juu angani.

Kwani we bingwa ulidhani wazungu wenzetu!

Teh teh teh teh!

Hawana maana wale! Mabepari wahedi!
 
umetoa jibu zuri sana Mkuu,Nashukuru na Mimi nimefaidika Kwa elimu hii.Kunawengine humu kwao jambo la maana ni ngono tu,tuwasamehe bureeeeee

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…