Aliye tayari kuzaa aje

Aliye tayari kuzaa aje

boloyang

Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
26
Reaction score
25
Mie ni mwanaume mwenye miaka 30, nahitaji mwanamke wakuzaa nae, awe mwenye umbo saizi ya kati, anaejielewa, mweupe wa asili, mrefu kiasi, aliye tayari kuzaa, umri miaka 25 hadi 30. Aliye serious ani pm
 
Huyo mwanamke wa kuzaa naye, mtaenda wote labour? Yeye atazaa kwa njia ya kawaida, wewe utazaaje sasa?? Oh sorry kumbe kuna operesheni.

Nilipaswa kukuuliza hiyo mimba wewe utaipataje ili ukazae na huyo mwanamke aliye tayari kuzaa na wewe???

Mwalimu snowhite hebu kuja huku kuna mtu anataka kuongozana na wewe kwa mkunga
 
asa kama ni wakuzaa tu hivyo vigezo vyote vya nin? we sema tu mwanamke mwenye uwezo w kuzaa basi.
 
Huyo mwanamke wa kuzaa naye, mtaenda wote labour? Yeye atazaa kwa njia ya kawaida, wewe utazaaje sasa?? Oh sorry kumbe kuna operesheni.

Nilipaswa kukuuliza hiyo mimba wewe utaipataje ili ukazae na huyo mwanamke aliye tayari kuzaa na wewe???

Mwalimu snowhite hebu kuja huku kuna mtu anataka kuongozana na wewe kwa mkunga
 
Mie ni mwanaume mwenye miaka 30, nahitaji mwanamke wakuzaa nae, awe mwenye umbo saizi ya kati, anaejielewa, mweupe wa asili, mrefu kiasi, aliye tayari kuzaa, umri miaka 25 hadi 30. Aliye serious ani pm
Unatafuta inkyubeta?
 
Kuna mahali Jukwaa la wakubwa nimeona picha, afu mwanadamu mmoja akasema ni yako.

Nimefadhaika sana, nimesikitika sana, nimesononeka sana.

Tatizo ni huu uwaziri mkuu??
nimeona na mm sio mm alijiskia tu humu haujaona nimewatukana
 
nimeona na mm sio mm alijiskia tu humu haujaona nimewatukana
Hapana, nilivoona tu umetajwa nikawa kipofu ghafla. Sikuona kilichoendelea.

Nikakusaidie kuwatukania vikojoleo vyao au niwabadili jinsia afu nihamishie utupu wao usoni??
 
Hapana, nilivoona tu umetajwa nikawa kipofu ghafla. Sikuona kilichoendelea.

Nikakusaidie kuwatukania vikojoleo vyao au niwabadili jinsia afu nihamishie utupu wao usoni??
Njo unisaidie kuwatuka na vikojoleo vyao uvibadili babu
 
Mie ni mwanaume mwenye miaka 30, nahitaji mwanamke wakuzaa nae, awe mwenye umbo saizi ya kati, anaejielewa, mweupe wa asili, mrefu kiasi, aliye tayari kuzaa, umri miaka 25 hadi 30. Aliye serious ani pm
Binadamu anajifungua hazai,
 
Je kama wewe ni mgumba utamzalishaje? Au unataka ujipatie gegedwa tu
 
Nauliza je wagumba nao utawazalisha tu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom