Aliye na sample za written interview za mifugo

Aliye na sample za written interview za mifugo

MICROZ

Member
Joined
Dec 10, 2018
Posts
70
Reaction score
84
Poleni na majukumu Wana jamvi , nimda Sasa tangu zilipotangazwa ajira za mifugo, hvyo tunategemea huenda mda si mrefu mkeke ukatoka wa kuitwa kwenye usaili, hvyo natamani nianze maandalizi mapema kama nitapata bahati ya kuitwa basi itakua vema , nakama sitapata yote mema. Hvyo naomba msaada Kwa aliye na sample ya paper zao za usaili,
Natanguliza shukrani zangu , ahsanteni sana
 
Sema na level yako pia itawasadia watu kukusaidia kwa urahisi
 
Poleni na majukumu Wana jamvi , nimda Sasa tangu zilipotangazwa ajira za mifugo, hvyo tunategemea huenda mda si mrefu mkeke ukatoka wa kuitwa kwenye usaili, hvyo natamani nianze maandalizi mapema kama nitapata bahati ya kuitwa basi itakua vema , nakama sitapata yote mema. Hvyo naomba msaada Kwa aliye na sample ya paper zao za usaili,
Natanguliza shukrani zangu , ahsanteni sana

"...sample za pepa zao za usaili" kazi kweli kweli.
 
Ume apply juzi hapa we subiri mwezi wa tisa


Wenzako tumeomba toka mwezi wa tano hadi leo hollah
Ata sisi ni mwezi wa Tano tulipoaply, najua kwamba ni mwezi wa tisa, lakini si unajua siku hazigandi, mwezi wa tisa sio mbali,
 
Poleni na majukumu Wana jamvi , nimda Sasa tangu zilipotangazwa ajira za mifugo, hvyo tunategemea huenda mda si mrefu mkeke ukatoka wa kuitwa kwenye usaili, hvyo natamani nianze maandalizi mapema kama nitapata bahati ya kuitwa basi itakua vema , nakama sitapata yote mema. Hvyo naomba msaada Kwa aliye na sample ya paper zao za usaili,
Natanguliza shukrani zangu , ahsanteni sana
(utani) kama unaenda kufanyia interview mifugo vile. kichwa cha habaru chaeleza.
 
Back
Top Bottom