Alivyosikia nimeoa kaanza kunitusi.

Alivyosikia nimeoa kaanza kunitusi.

Mr mgeni

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
1,222
Reaction score
810
Huyu mwanamke nimezaa nae,tuliachana kutokana na tabia zake chafu.Kwa hasira na kiburi chake tuliachana kwa maneno makali mno na kila mmoja akasika time yake.Aliondoka na mtoto akiwa ana miaka miwili.Hakuhitaji pesa kutoka kwangu kwaajili ya matunzo ya mtoto kisa Baba naMama yake wapo na wanahela nikaona sio shida,Mimi Kabwela masikini takua nimepunguziwa mzigo.
Imepita miaka miwili,bila mawasiliano kwani kutokana na hasira nilimsusa hadi mtoto.Nilikuja kugundua alikua akinifuatilia bila mimi kujua,wiki mbili kabla ya kuoa mke mwingine Ndio mambo yakaanza kuwaka moto.Sijui namba zangu alipata wapi nilipigiwa sim usiku kupokea akasema Mimi mama S,."Hivi we mwanamme ukoje"?mtoto ana miaka minne sasa hata kusema mtoto anaendeleaje hamna huyo Malaya wako amekuloga eeh!!Unategemea mtoto wako nanai anakulelea?hutoi hata matunzo ya mtoto!Na nikija huko huyo umbwa wako ulienaye atanikoma Njoo nyumbani umchukue mtoto wako.
Nilichomuambia ni kwamba nitamtuma mtu dada angu ajeamchukue!,.Akasema dada ako ndo alinitia mimba labda aje achukue kivuli."Nilikata sim,Alisndelea na message za matusi nyingi.Tangu tulivyoachana kwao sijawai kwenda na niliapa kwenda kwa sababu ya zarau zako.

Naombeni ushauri nifanye nini kwa huyu mwanamke na nini anachotaka kwangu Na ndo yangu mpya ipo hatarini kuvunjika anampa vitisho huyu mke nilienae.Sijui nifanyaje ndugu zangu.
 
Endelea kupiga kimya lakini umueleze mkeo yote yanayojiri bila kumficha kitu.


Huyu mwanamke nimezaa nae,tuliachana kutokana na tabia zake chafu.Kwa hasira na kiburi chake tuliachana kwa maneno makali mno na kila mmoja akasika time yake.Aliondoka na mtoto akiwa ana miaka miwili.Hakuhitaji pesa kutoka kwangu kwaajili ya matunzo ya mtoto kisa Baba naMama yake wapo na wanahela nikaona sio shida,Mimi Kabwela masikini takua nimepunguziwa mzigo.
Imepita miaka miwili,bila mawasiliano kwani kutokana na hasira nilimsusa hadi mtoto.Nilikuja kugundua alikua akinifuatilia bila mimi kujua,wiki mbili kabla ya kuoa mke mwingine Ndio mambo yakaanza kuwaka moto.Sijui namba zangu alipata wapi nilipigiwa sim usiku kupokea akasema Mimi mama S,."Hivi we mwanamme ukoje"?mtoto ana miaka minne sasa hata kusema mtoto anaendeleaje hamna huyo Malaya wako amekuloga eeh!!Unategemea mtoto wako nanai anakulelea?hutoi hata matunzo ya mtoto!Na nikija huko huyo umbwa wako ulienaye atanikoma Njoo nyumbani umchukue mtoto wako.
Nilichomuambia ni kwamba nitamtuma mtu dada angu ajeamchukue!,.Akasema dada ako ndo alinitia mimba labda aje achukue kivuli."Nilikata sim,Alisndelea na message za matusi nyingi.Tangu tulivyoachana kwao sijawai kwenda na niliapa kwenda kwa sababu ya zarau zako.

Naombeni ushauri nifanye nini kwa huyu mwanamke na nini anachotaka kwangu Na ndo yangu mpya ipo hatarini kuvunjika anampa vitisho huyu mke nilienae.Sijui nifanyaje ndugu zangu.
 
Umenisikitisha kusema mzazi mwenzako alipoondoka ulisusa na mtoto miaka miwili,Katika ujana wangu nilikosa mengi sana ikiwemo kuzaa na wanawake tufaut,nilizaa na wanawake wanne na wote walikuwa na visa sana ila sikuwahi kususa mtoto,Usiludie hilo kosa tena katika uhai wako mkuu.
 
Huyu mwanamke nimezaa nae,tuliachana kutokana na tabia zake chafu.Kwa hasira na kiburi chake tuliachana kwa maneno makali mno na kila mmoja akasika time yake.Aliondoka na mtoto akiwa ana miaka miwili.Hakuhitaji pesa kutoka kwangu kwaajili ya matunzo ya mtoto kisa Baba naMama yake wapo na wanahela nikaona sio shida,Mimi Kabwela masikini takua nimepunguziwa mzigo.
Imepita miaka miwili,bila mawasiliano kwani kutokana na hasira nilimsusa hadi mtoto.Nilikuja kugundua alikua akinifuatilia bila mimi kujua,wiki mbili kabla ya kuoa mke mwingine Ndio mambo yakaanza kuwaka moto.Sijui namba zangu alipata wapi nilipigiwa sim usiku kupokea akasema Mimi mama S,."Hivi we mwanamme ukoje"?mtoto ana miaka minne sasa hata kusema mtoto anaendeleaje hamna huyo Malaya wako amekuloga eeh!!Unategemea mtoto wako nanai anakulelea?hutoi hata matunzo ya mtoto!Na nikija huko huyo umbwa wako ulienaye atanikoma Njoo nyumbani umchukue mtoto wako.
Nilichomuambia ni kwamba nitamtuma mtu dada angu ajeamchukue!,.Akasema dada ako ndo alinitia mimba labda aje achukue kivuli."Nilikata sim,Alisndelea na message za matusi nyingi.Tangu tulivyoachana kwao sijawai kwenda na niliapa kwenda kwa sababu ya zarau zako.

Naombeni ushauri nifanye nini kwa huyu mwanamke na nini anachotaka kwangu Na ndo yangu mpya ipo hatarini kuvunjika anampa vitisho huyu mke nilienae.Sijui nifanyaje ndugu zangu.
Kamshtaki polisi, kutukana ni jinai. Akipewa msukosuko kidogo then wewe uombe kuyamaliza nje ya mahakama.
Kama ulimwambia mkeo kuwa ulizaa na 'KICHAA' ni vizuri coz unapo pa kuanzia kumueleza yanayojiri... Chukua mtoto kwanza mpeleke kwa bibi yake au dada yako kuepusha kichaa kuja kwako kufanya fujo kwa gia ya kusalimia mtoto.
BTW mliokotana wapi na kichaa huyu? Itawasaidia wengine...
 
Mkuu kuna mambo mawili hapo, kuna utajiri wa wazazi wake (ambalo ndilo suala lililompa kiburi kipindi kile hadi akasema ahitaji matunzo yako) na pili ni suala la kuolewa (maana yake amekaa tu miaka minne na umri unazidi kwenda hivyo anaona kabisa huyo mtoto ndo sababu japo naamini dharau zake ndo sababu hivyo kachanganyikiwa, ndoa ina heshima yake mkuu)
Cha kufanya kuwa mkweli kwa mkeo mtarajiwa ili yakianza kuja mapichapicha awe mstahimilivu umvivuke pamoja. Kuhusu mtoto mchukue akakae kwa bibi yake maana ndoa yako itakuwa bado changa sana kukaa na mtoto huyo ukizingatia bado mama mtoto atakuwa anakisirani na wewe hivyo kama mtoto akiwa hapo kwenu atakuwa anakuja kila mara kudai kumsalimu mwanae.
Zaidi ya hapo nakutakia heri katika harusi yako muombeni sana Mungu kwani hamjui mwanamke atapanga lipi dhidi yenu ili ndoa isifungike.
 
Pole ndugu ila kama haukuwahi kumwambia mkeo mpua kuwa una mtoto inabidi umwambie mkeo kuwa una mtoto ana miaka minne sasa
 
Huyu mwanamke nimezaa nae,tuliachana kutokana na tabia zake chafu.Kwa hasira na kiburi chake tuliachana kwa maneno makali mno na kila mmoja akasika time yake.Aliondoka na mtoto akiwa ana miaka miwili.Hakuhitaji pesa kutoka kwangu kwaajili ya matunzo ya mtoto kisa Baba naMama yake wapo na wanahela nikaona sio shida,Mimi Kabwela masikini takua nimepunguziwa mzigo.
Imepita miaka miwili,bila mawasiliano kwani kutokana na hasira nilimsusa hadi mtoto.Nilikuja kugundua alikua akinifuatilia bila mimi kujua,wiki mbili kabla ya kuoa mke mwingine Ndio mambo yakaanza kuwaka moto.Sijui namba zangu alipata wapi nilipigiwa sim usiku kupokea akasema Mimi mama S,."Hivi we mwanamme ukoje"?mtoto ana miaka minne sasa hata kusema mtoto anaendeleaje hamna huyo Malaya wako amekuloga eeh!!Unategemea mtoto wako nanai anakulelea?hutoi hata matunzo ya mtoto!Na nikija huko huyo umbwa wako ulienaye atanikoma Njoo nyumbani umchukue mtoto wako.
Nilichomuambia ni kwamba nitamtuma mtu dada angu ajeamchukue!,.Akasema dada ako ndo alinitia mimba labda aje achukue kivuli."Nilikata sim,Alisndelea na message za matusi nyingi.Tangu tulivyoachana kwao sijawai kwenda na niliapa kwenda kwa sababu ya zarau zako.

Naombeni ushauri nifanye nini kwa huyu mwanamke na nini anachotaka kwangu Na ndo yangu mpya ipo hatarini kuvunjika anampa vitisho huyu mke nilienae.Sijui nifanyaje ndugu zangu.
Hyo maza bado anakupenda sema hatak kujishusha alidhan labda utaendelea kumpigia Magoti,n aina ya wanawake ambao hawawez kaa na kutulia labda sa hv akili imemrudia
 
Kingine peleka hyo kesi tcra maana hayo n makosa ya mtandaoni inaezekana anakuona boya flan lakn kikubwa moyo wake bado upo kwako
 
Wacha kwanza ndoa ipite, then utajua cha kufanya. Kwa sasa tutakuchanganya tu ubongo. Badilisheni namba za simu kwa muda mpaka harusi ipite. Ni wivu tu na roho mbaya vinamsumbua...
Wacha aisome namba.
 
Back
Top Bottom