alitumikishwa, au ni sehemu ya mapenzi?

ebana habarin za wakati huu,

mara nyingi xana hujiuliza juu ya kupokea cm ya mwenz wako lakin cpt jibu, kimbwanga hicho kimemkuta rafiki angu wa karibu xana, nibaada ya kuwa akimpigia cm aliyekuwa mpenzi wake ili waweke mambo =, anajikuta anaongea na njemba ikitoa matusi mithiri ya mzoga damponi na ii inatokea anapotumia laini yake, msela kanitaka ushauri kiukweli nimeshndwa.

kwaupande wa msela mwenye kupokea cm ana2mikishwa au ni sehemu ya mapenzi?

Hivi kweli Taifa ndio lina watu kama huyu asiyejua lugha ya taifa halafu unajiita Mtazania?

Imeniuma sana kuona umechafua na kuidhihaki lugha yetu adhimu ya kiswahili!
 
hivi siku hizi shule wamaetoa darasa la kwanza hadi la tano???

Kizazi kipya hakijui kabisa tofauti ya s na x

I even don't understand!
Kwa nini mtu anaona raha kuandika 'cm' badala ya simu..au 'xaxa' badala ya 'sasa'..
Nadhani walimu wamegoma..
 
kama umeweza kuandika "x" unashindwaje kuandika "s", tena hapo kwenye "keyboard" vipo karibu sana
 
nimekipata mpaka nimejificha mwenyewee, nimekomaaa, cha ajabu mtaani kwetu ndiye m/kiti wa vikao vya kijiji. mi nilijua nyakati zimebadirika, manake nimekuwa nikipata sms na barua nyingi za stairi hiyo. duuu kumbeeee.....uuuh. possibble nisamehe mzee mwenzangu
 
nimekipata mpaka nimejificha mwenyewee, nimekomaaa, cha ajabu mtaani kwetu ndiye m/kiti wa vikao vya kijiji. mi nilijua nyakati zimebadirika, manake nimekuwa nikipata sms na barua nyingi za stairi hiyo. duuu kumbeeee.....uuuh. possibble nisamehe mzee mwenzangu

Tuko pamoja ndugu.Mtu hupewa heshima kwa mavazi na unadhifu wa lugha.Nakuheshimu kwa kuwa umeamua kutofuata mkumbo wa vijana wa leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom