Alisimamisha bendera siku 40, akafa kisa mke wa mtu

Alisimamisha bendera siku 40, akafa kisa mke wa mtu

ANKOJEI

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
995
Reaction score
749
Wizi mbaya jamani,

Hi ni habari ya siku nyingi ila kwa vijana wapya (under 21) huwezi ijua, imetokea kati ya mwaka 2004 na 2005. Ilikuwa inarushwa katika kipindi cha mambo mseto cha RTD sasa TBC2.

Owk story, ni ndefu ila ni kwamba mwenye mke alikuwa anakaa Zambia huko, wakati kaacha mke Sumbawanga. Jirani yake akawa anapeana vitu na mke wake, hata baada ya jamaa kupandisha bendera na kutoa onyo ya kwamba yeyote atakayevunja amri ya 6 na my lovedavi atapata mateso makali. Bado mwizi huyu aliendelea kuvunja amri ya 6 na ya 7 kwa maarifa ya hali ya juu.

Sasa baada ya huyu Mzambia kuweka mtego, Jamaa alisimamisha uume siku 40+. Wazee walitumwa Zambia kumbeleza mweka mtego lakini akagoma.

Sasa kukawa na story za chini chini kwamba huyu mzambia anataka mwizi wake achague kati ya haya matatu hapa lasivyo atakufa kifo kibaya zaidi.

1. Kuhama na kuwa hai lakini hanisi
2. Kuendelea kukaa hapo hapo lakini bendera inaendelea kusimama mpaka kifo
3. Mzambia apewe mkewe wake na huyu mwizi naye aenjoy na jamaa awe hanisi na asihame.

Mpaka kipindi hicho sikusikitika tena habari hii ikirushwa tena RTD.

Swali je wewe ungechagua kipi 1, 2, au 3
 
Nisingeweza kuchagua hata kimoja kwakuwa ni story,
 
Wizi mbaya Jamani ...

Hi ni habari ya siku nyingi ila kwa vijana wapya (under 21) huwezi ijua, imetokea kati ya mwaka 2004 na 2005. Ilikuwa inarushwa katika kipindi cha mambo mseto cha RTD sasa TBC2.

Owk story ni ndefu ila ni kwamba mwenye mke alikuwa anakaa Zambia huko, wakati kaacha mke Sumbawanga. Jirani yake akawA anapeana vitu na mke wake, hata baaada ya jamaa kupandisha bendera na kutoa onyo ya kwamba yeyote atakaye vunja amri ya 6 na my lovedavi atapata mateso makali. Bado mwizi huyu aliendelea kuvunja amri ya 6 na ya 7 kwa maarifa ya hali ya juu.

Sasa baada ya huyu Mzambia kuweka mtego, Jamaa alisimamisha uume siku 40+. Wazee walitumwa Zambia kumbeleza mweka mtego lakini akagoma.

Sasa kukawa na story za chini chini kwamba huyu mzambia anataka mwizi wake achague kati ya haya matatu hapa lasivyo atakufa kifo kibaya zaidi,

1. kuhama na kuwa hai lakini hanisi
2. Kiendelea kukaa hapo hapo lakini bendera inaendelea kusimama mpaka kifo
3. mzambia apewa mkewe wake na huyu mwizi naye aenjoy na jamaa awe hanisi na asihame.

Mpaka kipindi hicho sikusikitia tena habari hii ikirushwa tena RTD.

Swali je wewe ungechagua kipi 1, 2, au 3
Naona namba2 imekaa vizuri
 
Mimi nimechagua kutotembea na mke wa mtu

Vitoto vya 21 mtaani vipo kibao sana!
 
Funzo hili lichukuliwe na walengwa kuwa MKE WA MTU SUMU KAA NAYE MBALI...Mwenzako kasimamisha mlingoti kwa siku 40 wewe utajikuta nyeti zinapotea kabisa na huku unaendelea kubanwa na haja ndoto kila ukicheki eneo ni jeupe mbaya kama paji la uso na hata dalili za kama kulikuwa na vinyweleo hakuna.
 
fanya mchezo, chezea mali sio mke wa mtu
 
Ujinga mtupu mke mpaka anachepuka kiivo hakupendi kwan wanawake wameisha?
 
ningemwomba tu amgonge wife hata akitaka 071 ale lakini asinifanye hanisi
 
ningemwomba tu amgonge wife hata akitaka 071 ale lakini asinifanye hanisi
Hahahaha shughuri unaanzaje kumwambia wife ili jamaa limtafune.
Au ndio vile tatizo langu kwenye ndoa ni tatizo letu
 
Hahahaha shughuri unaanzaje kumwambia wife ili jamaa limtafune.
Au ndio vile tatizo langu kwenye ndoa ni tatizo letu
wanawake ni viumbe wadhaifu sana ataelewa tu kwajil yakusaidia
 
isimame hivyo hivyo nizidi kumla ndogo mkewe
 
Back
Top Bottom