Alisema hanitaki sasa nani alaumiwe?

Alisema hanitaki sasa nani alaumiwe?

Mmh unaonekana unampenda sana hadi inafikia penzi linataka kukufanya uwe mjinga. Upo naye kwenye mahusiano but ashakuwa na watu wawili tofauti, unataka tukusaidiaje sasa? anajileta kwako coz ameshaona una hela sasa hivi, sawa hela sio tatizo unaweza ukamuhonga tu but Umeshawaza ni nini mustakabali wa mapenzi yenu? Utalia wewe mwisho wa siku
 
utakuwa huna nyota watt kibao nje bado unang'ang'ania huo ukimwi watu waliokuwa wanaipiga kwa zamu jeshin
 
Tatizo ni kwamba unampenda sana na huna sauti mbele yake na ameshalijua hilo ndo mana ana ku treat kama zoba, manake niwajuavyo wanaume wewe nakuona wa ajabu tena wa ajabu sana jamani duuuh, yani wenzio wameanza kukugegedea toka sekondari mpaka leo bado upo tu tena cha kusikitisha zaidi unaomba na ushauri, ina maana tukikwambia uendelee nae tena umuoe na wewe utaona ni sahihi kabisa? plz grow a pair na be a man. LEAVE HER, huyo dada si tu kwamba hakufai wewe ila hafai kuwa mke wa mwanaume yoyote aliekamili

Asante mkuu kwa ushauri mzuri
 
Umemuongelea mwenzio tu kuhusu maisha yake ya mahusiano kipindi toka fomu one mpk leo. Swali langu je na wewe kipindi chote hicho ukuwa kwenye mahusiano na wengine mpk umepata kazi?. Ushauri wangu kata mawasiliano nae usonge mbele inaonekana unamuhitaji sana huyo mwanamke ndio maana unamfuatilia sana wakati hakupendi.
 
unaogopa lawama mzee...?? mwache akulaumu kinafki tu ila ukweli anaujua yeye nani anapaswa kulaumiwa... piga kazi mkuu huo msala mjeda wake akijua kwamba unaleta shida kwa mpenzi wake... sipati picha vurugu yake mana wanapenda fujo kama wavietnam.. achana nae aisee tafuta mwingine
 
Mpotezee bhana, hili hata halihitaji ushauri kutoka kwa watu km unajua unafikiria kweli....
 
Mkuu Ukikubali Kuoa Mwanamke Mwanajeshi Basi Tambua Umeolea MaafIsa Wake... Jeshini Mwanamke Yupo Kwa Sababau Ya Kutuliza Genye za Askari Wa kiume, Ushukuru Alivyokuonyesha Mapema Otherwise Ungeletewa Mimba Au Mtoto Ambae Si Wako.. Naongea Hili Kwa Kuwa Nilikuwa Mhanga kipindi f'lani hivi
 
Mhhh jman mwenye kucha hapewi uplele.kha!!tafuta msichana mwingine my dia
 
Pole Mkuu move on jifunze kusema inatosha....ucwe na uoga kana kwamba ypo peke ake hapa duniani,kila mtu amepitia hzo drama ni kawaida
 
Mapenz hayashauriwi kama kwel unampend we mpendetu kwa dhat Ila huko kambini wanamgonga tu kwa vocal
 
Siwezi kukataa kuwa hakupendi kwa sababu we mwenyewe hujatoa viashiria vya kwa nini unadhani anakupenda. Ila mimi huyo namtafsiri kama "Opportunist " which may not come as a surprise kwa sababu kiukweli kabisa dada zetu wengi wapo hivyo. Sisemi kuwa sisi wanaume sio opportunists, Its just that we don't do it in relationships more often like women.

Turudi kwenye mada; Kwa kifupi kabisa mkuu, huyo msichana hakufai! Tafuta tu mwanamke mwingine atakayekuwa na vigezo ndo ujasirie hapo. Huyo achana naye as soon as u get this. She will torture you and leave you drained empty emotionally, financially, socially and physically. Hii ndo type ya women ambao hufanya wanaume wajiue. She can only care about her life. Yani wala si wa kushauriwa, mwambie apite hivi....



Najiuliza kweli nastahili lawama hizi je, nifanye nini?
 
Hi five. Una akili sana wewe.

Tatizo ni kwamba unampenda sana na huna sauti mbele yake na ameshalijua hilo ndo mana ana ku treat kama zoba, manake niwajuavyo wanaume wewe nakuona wa ajabu tena wa ajabu sana jamani duuuh, yani wenzio wameanza kukugegedea toka sekondari mpaka leo bado upo tu tena cha kusikitisha zaidi unaomba na ushauri, ina maana tukikwambia uendelee nae tena umuoe na wewe utaona ni sahihi kabisa? plz grow a pair na be a man. LEAVE HER, huyo dada si tu kwamba hakufai wewe ila hafai kuwa mke wa mwanaume yoyote aliekamili
 
Daaah ila unamoyo yaaan muda wote huo ujapata mwingine
 
Omwojo

kama muvi vile mkuu,,ila mwanamke wa kukupenda kwenye mafanikio siyo mwanamke huyo tafuta mwingine mkuu
 
Last edited by a moderator:
Mi nahisi wanaume wengi wamerogwa, maana hata unapoona hupendwi au mnapangwa unazidi tu kung'ang'ania.

Jibu unalo lakini bado unaomba ushauri.
 
Back
Top Bottom