hakuna raisi aliyeingiwa na shetani kama ahamadinejad, kwanza kabisa al quaeda wanakiri kwamba wao ndo wamelipua, afu yeye anasema hajalipua kitu...wajerumani wote walishuhudia kuwa holocost ilitokea mbele ya macho yao, yeye anasema haikutokea, hivi ni akili ya aina gani hiyo...wana shida waliompata rais wa aina hiyo. macho ni yetu kuona rais huyu wa iran anapoenda kuteka kaburi la mtume kule wanakoenda kuhiji watoto wa mamamdogo...nuke ikipatikana tu, mandege ya saudia ambayo nchi ya saudia ilinunua Germany kwa kujilinda na iran sidhani kama yatafanya kazi. yetu macho.