Huyu mkaka ndio alinifundisha abc ya kukaa uchi huku mkiwa mnafanya kila wazazi walichokataza juu ya wavulana.
Ameoa na mimi nimeolewa,
Lakini cha ajabu tunapendana kuliko tunavyopendana wa wandani wetu.
Mi kwakweli nataka niishi maisha safi ya ndoa, je nifanyeje ili nimuache?