Alinisaliti nikagundua

Alinisaliti nikagundua

Mmmmh!! Huo uhusiano tayari una dosari, things ll never be the same again, alishaivunja trust ulokuwa nayo kwake hivyo haiwezi kurudi, usaliti kwenye mahusiano/ndoa ni boooonge la doa, haitoki hata kwa jiki.
Umeanza tena! Je una experience? Kwa kukusaidia lazima ujenge imani katika akili yako kuwa kateleza hatarudia tena na muwe wazi na simu zenu muondoe password
 
Mtu akikusaliti hata mara moja, tayari hilo ni doa. Kama umeamua kusamehe wewe samehe tu, lakini ujue huwezi kusahau. Na utaendelea kuishi nae kwa mashaka na kwa wasiwasi siku zote. Ukiona moyo unakataa achana nae tu.
 
Kama unampenda msamehe na uishi nae, ipo siku ukweli utatoka tu kama bado anaendelea na usaliti wake ila usisahau cheaters are always cheaters...
 
Msamehe utasahau tu kama kweli kadhamiria kukupenda kwa dhati na upya kabisa. "EVERYTHING HUMAN BEING HAS HIS/HER PAST"
 
Wewe ndiye unayemfahamu mpenzi wako A-Z ndiyo maana hata ukamsamehe, sasa sisi hata wewe mwenyewe hatukujuwi tutakushauri nini zaidi ya kukuchanganya tu.
Mf: Jasiri haachi asili, hujawahi kukuta wazee wazima vito.mbi mtaani watoto wa watu hawalali, sembuse na huyo kijana wa miaka 31 bado kabisa damu inachemka!
 
Wewe ndiye unayemfahamu mpenzi wako A-Z ndiyo maana hata ukamsamehe, sasa sisi hata wewe mwenyewe hatukujuwi tutakushauri nini zaidi ya kukuchanganya tu.
Mf: Jasiri haachi asili, hujawahi kukuta wazee wazima vito.mbi mtaani watoto wa watu hawalali, sembuse na huyo kijana wa miaka 31 bado kabisa damu inachemka!

asntee kwa kuchangia nmekuelewa
 
kifupi humpendi na ushapata kisingizio.....uamuzi ni wako....
 
Mmmmh!! Huo uhusiano tayari una dosari, things ll never be the same again, alishaivunja trust ulokuwa nayo kwake hivyo haiwezi kurudi, usaliti kwenye mahusiano/ndoa ni boooonge la doa, haitoki hata kwa jiki.
kabisaa thou bt am sure it take atime to trust him again wallah
 
Back
Top Bottom