nakaziaSimple
Mrudishie gharama zote alizokusaidia
🤣🤣🤣yaani mwanaume akupe tu msaada.. yaani akupe tu.. afu yaishe
penye udhia penyeza rupiayaani mwanaume akupe tu msaada.. yaani akupe tu.. afu yaishe
Wadada wengi wanashida sana yaani unakuta mtu sindugu yako anataka labda mtaji wa biashara au umlipie ada lakini kutoa mzigo ananuna duhyaani mwanaume akupe tu msaada.. yaani akupe tu.. afu yaishe