Prisoner 46664
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 1,948
- 1,237
Pole sana mkuu...uamuzi wa kumsamehe au kutosamehe ni juu yako mwenyewe asilimia 100..jiulize ikiwa amepata matatizo na wewe ukaamua hutamsamehe ni nini basi tofauti ya moyo wako wewe na wake?
Pia changamoto za maisha bado hazijaisha,zitakuja nyingine huko mbele...una uhakika gani huyo atakayekuja sasa atakupenda hata wakati mambo yako yakiwa mabaya?kumbuka anakuona ulivyo tu hivi sasa...
ile ahadi ya "katika shida na raha" ni ngumu kuliko wengi tunavyofikiri..na ikiwa umeshazaa naye watoto?!..
Kusamehe wakati unayemsamehe hastahili msamaha ndiyo true sign ya maturity..it is only divine...
Pia changamoto za maisha bado hazijaisha,zitakuja nyingine huko mbele...una uhakika gani huyo atakayekuja sasa atakupenda hata wakati mambo yako yakiwa mabaya?kumbuka anakuona ulivyo tu hivi sasa...
ile ahadi ya "katika shida na raha" ni ngumu kuliko wengi tunavyofikiri..na ikiwa umeshazaa naye watoto?!..
Kusamehe wakati unayemsamehe hastahili msamaha ndiyo true sign ya maturity..it is only divine...