kwa style hii na mie eti kesho nikachague wedding dress shoppers plaza,bado nipo nipo sana.POLE KWA YANAYOKUSIBU NA PIA NAKUPONGEZA KWA KUJIHESHIMU(KAMA MKE WA MTU NA PIA MAMA WA WATOTO KADHAA) PILI MWOMBE MUNGU AMBADILISHE MUMEO YAWEZEKANA PEPO LINAMSUMBUA,KUNA KIDUDU MTU KIMEMCHENGUA AU NI MSONGO WA MAWAZO NDO UMEPELEKEA AWE HIVYO BAADAE ATABADILIKA, MPE MUDA NDO UTAJUA MBIVU NA MBICHI KWANI SI KAWAIDA MTU FROM NOWHERE ATAMKE HIVYO KWA MTU ALIYEMPENDA HADI KUSIMAMA NAYE MADHABAHUNI
Asnam. Twende tukachagua mwenzangu tufunge pingu za maisha usife kabla hujatoa nuksi kama wadada wengine. Asikudanganye mtu kuolewa dili. Si umesoma mwenzio anavoogopa aibu ya karne.
Pole sana bi mdada mleta mada, God will change him, believe in him and let him reign.
hizo pingu naziogopa kama ni nuksi mi nyota yangu inang'aa ikizima ntakutafuta.
Mmmm, imeshaanza kufifia, anza tu kunitafuta usije ukaja hapa na thread ya kutulaumu wakaka humo, mara oh ni maselfish, hatuwapendi, tunawagegeda sana. Sisi tufanyeje sasa!
Usi-expect so much katika maisha yako. Kuna watu wanalilia kupata Boyfriend, kuna wengine wanalilia kutamkiwa
uchumba, kuna wengine wanataka waambiwe ndoa kesho, Kuna wengine wanataka angalau mume apate uwezo wa kuleta chakula mezani, kuna wengine wanataka Waume zao wafufuke leo hata kama kuna wakati waliumizwa.
Matatizo ni changamoto za maisha, ukipata hiki unakosa kile. Maadam haku-abuse kwa kipigo au kutishia maisha
yako wewe ishi kwa furaha kama huna mpenzi lakini una mwenzi wa kusaidiana kulea Watoto, pengine ipo siku
utashangaa mambo yanabadilika. Siku hizi utazinguka kwa wangapi...............![/QUOTE
Wow thats very true bro!!I admire you have said.
Usi-expect so much katika maisha yako. Kuna watu wanalilia kupata Boyfriend, kuna wengine wanalilia kutamkiwa
uchumba, kuna wengine wanataka waambiwe ndoa kesho, Kuna wengine wanataka angalau mume apate uwezo wa kuleta chakula mezani, kuna wengine wanataka Waume zao wafufuke leo hata kama kuna wakati waliumizwa.
Matatizo ni changamoto za maisha, ukipata hiki unakosa kile. Maadam haku-abuse kwa kipigo au kutishia maisha
yako wewe ishi kwa furaha kama huna mpenzi lakini una mwenzi wa kusaidiana kulea Watoto, pengine ipo siku
utashangaa mambo yanabadilika. Siku hizi utazinguka kwa wangapi...............![/QUOTE
Wow thats very true bro!!I admire what you have said.
utaniona hapa nalalamika kuhusu mengineyo,lakini kuwalaumu uselfish kisa sijapata wa kuniwowa:mmph: never ever hayo ni majaaliwa ya muumba.
chanzo cha tatizo is anachukia ndoa na anamuonea huruma kila anayefunga ndoa.tatizo lilianza wiki tatu before marriage, milimkasirisha akaniambia isingekuwa tuko katikati ya maandalizi angehairisha hii ndoa.hakukuwa na shinikizo lolote,hana mwanamke mwingine yeyote wala hamna fununu, he is clean,anawapenda sana watoto,sana, a good father.his family members knows but hatujawahi kukaa kikao, hawezi kwenda he is so proud,walisema tuvumilie ndoa uvumilivu na inaichukia hiyo sentence.yes kipo kingine nahitaji mtoto wa tatu tu,na pia siwezi kuwa na mwanaume mwingine, sijui naonaje hivi, its hard thats why inabidi niendelee tu hapa.yes upendo wa nje hata siwezi siufikirii kabisa, ninaheshimika sana kwa watu siwezi kujitoa ufahamu hivyo.siwezi kabisa ni hatari sana.why nijifiche while now naexercise freely hadi wazee home kwetu wanajua na hawaji kunichuk
za siku nyingi?????????
chanzo cha tatizo is anachukia ndoa na anamuonea huruma kila anayefunga ndoa.tatizo lilianza wiki tatu before marriage, milimkasirisha akaniambia isingekuwa tuko katikati ya maandalizi angehairisha hii ndoa.hakukuwa na shinikizo lolote,hana mwanamke mwingine yeyote wala hamna fununu, he is clean,anawapenda sana watoto,sana, a good father.his family members knows but hatujawahi kukaa kikao, hawezi kwenda he is so proud,walisema tuvumilie ndoa uvumilivu na inaichukia hiyo sentence.yes kipo kingine nahitaji mtoto wa tatu tu,na pia siwezi kuwa na mwanaume mwingine, sijui naonaje hivi, its hard thats why inabidi niendelee tu hapa.yes upendo wa nje hata siwezi siufikirii kabisa, ninaheshimika sana kwa watu siwezi kujitoa ufahamu hivyo.siwezi kabisa ni hatari sana.why nijifiche while now naexercise freely hadi wazee home kwetu wanajua na hawaji kunichuk