Alimwaga damu bado anaishi

Alimwaga damu bado anaishi

mzee wa kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2012
Posts
947
Reaction score
690
Tundu Lissu, ni kati ya wanadamu watakaoingia kwenye historia ya ulimwengu,

Wataalamu wanasema huwezi kumwaga damu nyingi kiasi kile na bado ukaishi, Lisu alitakiwa awe amekufa kwa kuvuja damu nyingi, idadi ya mishipa ya damu iliyosagwa sagwa na tisasi, haikuwa kawaida kuweza kuzuia blood bleeding ya ndani na nje ya mwili, alipoona VP? Huu ni muujiza,

Asilimia kubwa ya damu aliyonayo Lisu Leo, sio damu yake, ni damu ya marafiki zake, ni damu ya makabila mengi, jinsia zote, na hata mataifa mbalimbali, huu nao ni muujiza, kwamba Lisu anashea blood na watu wengi sana

Damu ya Lisu ituunganishe

Hongera Tindu Lisu kwa kutimiza miaka miwili

Muujiza unaotembea
 
Sawa ila kuna kitu huwa sikielewi kutokana na hatia hiyo huyu jamaa (Antipas) huwa anatengenezewa kwa jamii Symptoms of mercy how?
 
Damu ya Lissu haiwezi kutu unganisha kila mtu ana itikadi zake kuna ambao hawakubaliani na itikadi zake na ambao wanakubaliana baadhi ya mambo wengine wanakubaliana moja kwa moja
 
Back
Top Bottom