Waimbaji kutoka kushoto: Defao, Shimita, Djo Nickel na Djeffard Lukombo. Mpiga solo ni Felix Manuaku Waku 'Pepe Fely' ambaye pia alikuwa ni mwanzilishi na kiongozi wa bendi. Manuaku ni mmoja wa waanzilishi wa bendi ya Zaiko Langa Langa, ambayo aliachana nayo mwaka 1979 na kuunda Grand Zaiko Wawa.