Kiba ni mwanamuziki sio mfanyabiashara.
Ndio maana hajishughurishi kutafuta masoko.
Ila ipo siku atazitamani sana hizi nyakati maana anachezea shilingi karibu na tundu la choo
tatizo media zilizokua zinamjaza upepo aonekane mkubwa zaid hawakupata walichotaka ndo maana hata ukifuatilia sasa wanampa promo yakinafki si kama ya mwanzo OVA.
Kiba ni mwanamuziki sio mfanyabiashara.
Ndio maana hajishughurishi kutafuta masoko.
Ila ipo siku atazitamani sana hizi nyakati maana anachezea shilingi karibu na tundu la choo
Hadi sasa jamaa kashachezea shilingi kwenye tundu LA choo huyu mwamba kwa promo na support aliyopewa km angekuwa na akili km za diamond angefika mbali sana na angeweza hata kumkalisha mondi au kumpa jamba jamba jamaa mpaka aombe poo