Alikataa kumchumbia akidai kuwa anaenda shule, sasa ana ujauzito na hajui aliyempa ni nani

Alikataa kumchumbia akidai kuwa anaenda shule, sasa ana ujauzito na hajui aliyempa ni nani

Holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
6,725
Reaction score
13,747
Wakuu
Mwaka 2022 ni mwaka ambao sitausahau kabisa katika maisha yangu,ni mwaka ambao nilikutana na binti wa kidato cha tatu ambaye niliingia nae katika mahusiano ya moja kwa moja,

Lakini sikutaka kumkatisha masomo yake hivyo nilimwambia nitamsubiri amalize shule ndipo nitamuoa,kama mnavyojua,mwelekeo wa matokeo ya mwanafunzi huonekana angali bado kidato cha kwanza,hivyo kupitia mitihani yake ya 4m1,4m2 na mwaka huo 43 hayakuridhisha na uwezekano wa kufeli ulikuwa mkubwa sana.

Niliwaambia hadi wazazi wake nia ya kutaka kumuoa,nao walikubali ila sharti amalize shule,baada ya kumaliza shule binti alipata dvsn4 ya 29, na binti akachange akasema yeye anaenda chuo haolewi,
Hata mazazi wake wakamfuata binti yao kuwa anaenda shule,

Nikampotezea na nikaoa kwingine na mke wangu ana mtoto mmoja sasa,yule binti amekaa nyumbani 2024 yote na hii 2025 bila hata kumuona anaenda shule,

Na sasa amekuja kwa shemeji yake akiwa mjamzito na ujauzito huo haijulikani kampatia nani kutokana na rundo la wanaume.

MUNGU AMEJIBU.
 
Wakuu
Mwaka 2022 ni mwaka ambao sitausahau kabisa katika maisha yangu,ni mwaka ambao nilikutana na binti wa kidato cha tatu ambaye niliingia nae katika mahusiano ya moja kwa moja,

Lakini sikutaka kumkatisha masomo yake hivyo nilimwambia nitamsubiri amalize shule ndipo nitamuoa,kama mnavyojua,mwelekeo wa matokeo ya mwanafunzi huonekana angali bado kidato cha kwanza,hivyo kupitia mitihani yake ya 4m1,4m2 na mwaka huo 43 hayakuridhisha na uwezekano wa kufeli ulikuwa mkubwa sana.

Niliwaambia hadi wazazi wake nia ya kutaka kumuoa,nao walikubali ila sharti amalize shule,baada ya kumaliza shule binti alipata dvsn4 ya 29, na binti akachange akasema yeye anaenda chuo haolewi,
Hata mazazi wake wakamfuata binti yao kuwa anaenda shule,

Nikampotezea na nikaoa kwingine na mke wangu ana mtoto mmoja sasa,yule binti amekaa nyumbani 2024 yote na hii 2025 bila hata kumuona anaenda shule,

Na sasa amekuja kwa shemeji yake akiwa mjamzito na ujauzito huo haijulikani kampatia nani kutokana na rundo la wanaume.

MUNGU AMEJIBU.
Thibitisha Mungu yupo.
 
Wakuu
Mwaka 2022 ni mwaka ambao sitausahau kabisa katika maisha yangu,ni mwaka ambao nilikutana na binti wa kidato cha tatu ambaye niliingia nae katika mahusiano ya moja kwa moja,

Lakini sikutaka kumkatisha masomo yake hivyo nilimwambia nitamsubiri amalize shule ndipo nitamuoa,kama mnavyojua,mwelekeo wa matokeo ya mwanafunzi huonekana angali bado kidato cha kwanza,hivyo kupitia mitihani yake ya 4m1,4m2 na mwaka huo 43 hayakuridhisha na uwezekano wa kufeli ulikuwa mkubwa sana.

Niliwaambia hadi wazazi wake nia ya kutaka kumuoa,nao walikubali ila sharti amalize shule,baada ya kumaliza shule binti alipata dvsn4 ya 29, na binti akachange akasema yeye anaenda chuo haolewi,
Hata mazazi wake wakamfuata binti yao kuwa anaenda shule,

Nikampotezea na nikaoa kwingine na mke wangu ana mtoto mmoja sasa,yule binti amekaa nyumbani 2024 yote na hii 2025 bila hata kumuona anaenda shule,

Na sasa amekuja kwa shemeji yake akiwa mjamzito na ujauzito huo haijulikani kampatia nani kutokana na rundo la wanaume.

MUNGU AMEJIBU.
Kupanga ni kuchagua.
 
Screenshot_20250323-102603~2.jpg
 
Wakuu
Mwaka 2022 ni mwaka ambao sitausahau kabisa katika maisha yangu,ni mwaka ambao nilikutana na binti wa kidato cha tatu ambaye niliingia nae katika mahusiano ya moja kwa moja,

Lakini sikutaka kumkatisha masomo yake hivyo nilimwambia nitamsubiri amalize shule ndipo nitamuoa,kama mnavyojua,mwelekeo wa matokeo ya mwanafunzi huonekana angali bado kidato cha kwanza,hivyo kupitia mitihani yake ya 4m1,4m2 na mwaka huo 43 hayakuridhisha na uwezekano wa kufeli ulikuwa mkubwa sana.

Niliwaambia hadi wazazi wake nia ya kutaka kumuoa,nao walikubali ila sharti amalize shule,baada ya kumaliza shule binti alipata dvsn4 ya 29, na binti akachange akasema yeye anaenda chuo haolewi,
Hata mazazi wake wakamfuata binti yao kuwa anaenda shule,

Nikampotezea na nikaoa kwingine na mke wangu ana mtoto mmoja sasa,yule binti amekaa nyumbani 2024 yote na hii 2025 bila hata kumuona anaenda shule,

Na sasa amekuja kwa shemeji yake akiwa mjamzito na ujauzito huo haijulikani kampatia nani kutokana na rundo la wanaume.

MUNGU AMEJIBU.
Sometime acha ukosd kisocho sahihi huyo hakuwa wako hivo mkuu. Usiwe na kinyongo labda ange kusumbua
 
Back
Top Bottom