sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
Neno lipo ..."NISAMEHE"...neno hili ninamaana nyingine ambayo ni ..."NIHURUMIE"...
Linatamkwa hivi (kama mtu anaomba msamaha au ahurumiwe)
"TANYABHERHA"
Neno kuomba/kusihi....."KUSASAMA"
Sentensi "Naomba unisamehe "
"Ndaghosasama tanyabhera"
Kwenye upande wa "kuomba" lipo neno pia....
KUOMBA=OGHOSABHA
1. Naomba maji ....."ndasabha amanche"
2. Nipe maji...."tang'a amanche" (kwa uvivu tu wakutumia lugha fasaha, sentensi hii hutumika mara zote )
Chanzo::
HDP
Linatamkwa hivi (kama mtu anaomba msamaha au ahurumiwe)
"TANYABHERHA"
Neno kuomba/kusihi....."KUSASAMA"
Sentensi "Naomba unisamehe "
"Ndaghosasama tanyabhera"
Kwenye upande wa "kuomba" lipo neno pia....
KUOMBA=OGHOSABHA
1. Naomba maji ....."ndasabha amanche"
2. Nipe maji...."tang'a amanche" (kwa uvivu tu wakutumia lugha fasaha, sentensi hii hutumika mara zote )
Chanzo::
HDP
Usiyoyajua kuhusu Makabila ya Wajita na Wakurya
Kinywaji chao kama ilivyo chai kwa wengine wao ni kichurii,nyongo inayochanganywa na maj ya utumbo
www.jamiiforums.com