NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,242
- 12,767
Anaandika Ahmedy Ally
Al Ahly amewahi kuchukua Ubingwa wa Kombe la Shirikisho mara moja tu tena miaka 9 iliyopita.
Wydad Casablanca hajawaji kuchukua Ubingwa wa Shirikisho hata group Stage hajawahi kucheza.
Mamelod hajawahi hata kushiriki Kombe la Shirikisho na halijui
Esparance hajawahi kushiriki hata hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho.
Zamalek imechukua ubingwa wa Shirikiaho mara moja tuuu.
Umeelewa nini?!!
Kombe la Shirikisho sio kipaumbele cha sisi timu kubwa, hatutamani kushiriki kombe hilo kwa sababu haliakisi mafanikio na ukubwa wetu.
Kwanini hatuvutiwi sana na Kombe la Shirikisho, Kwa sababu inashirikisha timu ndogondogo na timu mpya ndo maana kila siku unasikia majina mapya kina KMC, Biashara Geita, Namungo na wengine wadogo wadogo katika chi zao
Ukiona Mzee anafurahia Kombe la Shirikisho jua amekwama.
Nini maoni yako??
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Al Ahly amewahi kuchukua Ubingwa wa Kombe la Shirikisho mara moja tu tena miaka 9 iliyopita.
Wydad Casablanca hajawaji kuchukua Ubingwa wa Shirikisho hata group Stage hajawahi kucheza.
Mamelod hajawahi hata kushiriki Kombe la Shirikisho na halijui
Esparance hajawahi kushiriki hata hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho.
Zamalek imechukua ubingwa wa Shirikiaho mara moja tuuu.
Umeelewa nini?!!
Kombe la Shirikisho sio kipaumbele cha sisi timu kubwa, hatutamani kushiriki kombe hilo kwa sababu haliakisi mafanikio na ukubwa wetu.
Kwanini hatuvutiwi sana na Kombe la Shirikisho, Kwa sababu inashirikisha timu ndogondogo na timu mpya ndo maana kila siku unasikia majina mapya kina KMC, Biashara Geita, Namungo na wengine wadogo wadogo katika chi zao
Ukiona Mzee anafurahia Kombe la Shirikisho jua amekwama.
Nini maoni yako??
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app