NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,244
- 12,767
Nimejikuta natafakari sana juu ya kauli aliyoitamka Ahmedy Ally (msemaji wa Simba sc) na nikagundua huyu hajui chochote kuhusu mpira Bali ni mshehereshaji tu.
Kutokana na kauli yake ya kusema kuwa
"Azam hawezi kutufikia tena, mpinzani aliyebaki ni Yanga ambaye na yeye tunataka kumfunga na kumpita kwa alama sita. Ni mechi ambayo tunaitaka kweli kweli, kuanzia kwa mashabiki, benchi la ufundi, wachezaji na viongozi ndio hata hatulali."
Kitendo Cha kusema Azam Fc hawawezi kutufukia hiyo inaonesha wazi ni namna gani Ahmedy Ally hajui kuhusu mpira Ila NI mshehereshaji tu.
Mechi bado nyingi sana inakuaje unaanza kusema huwezi kufikiwa na wakati ndiyo kwanza upo katika round ya 7?
Bado hujakutana na huyo unaesema hawezi kukufikia hapa inaleta mashaka au Kuna mpango wa kuhonga marefa ili Simba sc isifikiwe?
Na huyo unaemshutumu hawezi kukufikia ndiyo mpinzani wako mkubwa aliyekutoa kwenye kombe la FA katika uwanja wa Nangwanda Sijaona na kupelekea mashabiki kuizomea timu mpaka mwisho wa safari na alichukua pointi 4 katika ligi kutoka kwako.
Ahmedy Ally alizungumza mbele ya camera baada ya kutolewa na Azam kwa masikititiko makubwa sana kuwa "mashabiki wametuzomea mpaka mwisho wa safari"
NALIA NGWENA kupitia hili Jukwaa la michezo pendwa kabisa nakuwaambia waliopo karibu na msemaji wa Simba sc wamuambie awe anachuja kabla ya kuzungumza pumba zake kwani anaidharirisha Simba sc.
Kutokana na kauli yake ya kusema kuwa
"Azam hawezi kutufikia tena, mpinzani aliyebaki ni Yanga ambaye na yeye tunataka kumfunga na kumpita kwa alama sita. Ni mechi ambayo tunaitaka kweli kweli, kuanzia kwa mashabiki, benchi la ufundi, wachezaji na viongozi ndio hata hatulali."
Kitendo Cha kusema Azam Fc hawawezi kutufukia hiyo inaonesha wazi ni namna gani Ahmedy Ally hajui kuhusu mpira Ila NI mshehereshaji tu.
Mechi bado nyingi sana inakuaje unaanza kusema huwezi kufikiwa na wakati ndiyo kwanza upo katika round ya 7?
Bado hujakutana na huyo unaesema hawezi kukufikia hapa inaleta mashaka au Kuna mpango wa kuhonga marefa ili Simba sc isifikiwe?
Na huyo unaemshutumu hawezi kukufikia ndiyo mpinzani wako mkubwa aliyekutoa kwenye kombe la FA katika uwanja wa Nangwanda Sijaona na kupelekea mashabiki kuizomea timu mpaka mwisho wa safari na alichukua pointi 4 katika ligi kutoka kwako.
Ahmedy Ally alizungumza mbele ya camera baada ya kutolewa na Azam kwa masikititiko makubwa sana kuwa "mashabiki wametuzomea mpaka mwisho wa safari"
NALIA NGWENA kupitia hili Jukwaa la michezo pendwa kabisa nakuwaambia waliopo karibu na msemaji wa Simba sc wamuambie awe anachuja kabla ya kuzungumza pumba zake kwani anaidharirisha Simba sc.