Nakubaliana na mtazamo wako Elli, kwani hata ukiangalia picha ya juzi ya mkutano wa cc ya magamba utaona kabisa kuwa Mukama yupo yupo tu na anangojea uchaguzi uishe akabidhi ofisi kwa katibu mkuu mwingine na ndio maana hakuvaa hata nguo zao za kijani kama wenzake!! Kuhusu Nape ni wazi kuwa kwa vyovyote vile hawezi kuchaguliwa kwa kura za wanachama wenzie kwa jinsi alivyokihodhi hicho chama chao kwa kauli zake za kuwagawa wenzie hivyo anaona kuliko kuabika afadhali ajiengue mapema!! Kinana afadhali amesoma alama za nyakati na ameng'atuka kwani he is past his EXPIRY date; he is no longer useful to the magambas na ndio maana hata kwenye uchaguzi wa rais wa 2010 koba la fedha lilishikwa na familia ya mkweree na sio chama!!