JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,394
- 9,675
Kuna ombwe la uongozi, pengine kila mtu anataka apitishe ajenda zake kwa nguvu.
Tunapoona viongozi wetu wanaamua kutoka nje hadharani wanatema nyongo, wanatukana, wanakosoa hadi raia tunashituka na kuwakanya waombe msamaha hakika kuna shida.
Ni muhimu mkatumia vikao maalum kuyachuja haya mambo na mkamaliza salama.
Ukitoka huku nje kuongea hautakosa wa kukuunga mkono na hata wa kukukosoa watakuwepo.
Madhara yake ni makubwa mno. Jamii inagawanyika bila kutarajia.
Msitangulize tamaa zenu. Tangulizeni jamii mnayoiongoza. Tangulizeni mshikamano na Amani kupitia nafasi mlizopewa.
Tunapoona viongozi wetu wanaamua kutoka nje hadharani wanatema nyongo, wanatukana, wanakosoa hadi raia tunashituka na kuwakanya waombe msamaha hakika kuna shida.
Ni muhimu mkatumia vikao maalum kuyachuja haya mambo na mkamaliza salama.
Ukitoka huku nje kuongea hautakosa wa kukuunga mkono na hata wa kukukosoa watakuwepo.
Madhara yake ni makubwa mno. Jamii inagawanyika bila kutarajia.
Msitangulize tamaa zenu. Tangulizeni jamii mnayoiongoza. Tangulizeni mshikamano na Amani kupitia nafasi mlizopewa.