snow snow
Senior Member
- Sep 12, 2014
- 118
- 88
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na WanaCCM wa Mkoa wa Kusini Pemba katika ziara yake ya kutoa shukrani kufuatia ushindi wa CCM wa uchaguzi mkuu uliofanyika octoba 28,mwaka huu.