Ali Kiba studio, AY muziki, Diamond biashara

Ali Kiba studio, AY muziki, Diamond biashara

Kimsingi mleta mada yupo sahh ila tu tatzo la sisi wa nchi hii tumejawa na mahaba tukipenda tumependa unaweza ukamchukia mtu kisa tu anajituma.. Ni hatr sana kwa Tanganyika yetu
 
Em tufafanulie na mwanamuziki kama nature na ray c maana kwa mimi hawa ni watu nliokuwa nawakubali na bado nawakubali mpaka sasa,kwakwel nliuzunika sana walivyopotea hawa watu ivi niulize hawa watu wakirudi upya ivi patatosha kweli na ni nini kimewafifisha hivi majembe hawa ingawa si hawa tuu wako na wengine wengi
 
Nakurekebisha wimbo wa nagharamia na kajiandae sio wimbo wa kushirikishwa ni wa kushirikiana....inaonesha we ni mjuzi wa kuchambua lakini vitu vidogo kama hivi hauvijui...Pole sana.

Hujui kusoma au una haraka soma taratibu
 
Yah copy n paste, ila umekua mvivu wa akili kwa kutosoma mwisho mwandishi ni nani,
hiyo thread mbona ipo humu jf tangu siku nyng tu, we umecopy na kuedit jina lingne, mwishoni kulikuwa na website iko wap? mods peleken hii thread kwenye original yake
 
Back
Top Bottom