Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,352
Roho imenipasuka jamani.....zawadi ni zawadi tu asikuambie mtu,unaweza ukawa tajiri wa kila kitu lakini ukapewa zawadi hata ya ua likakutoa machozi!!!
Haha haaaa naona hadi chinga kaja kutukumbusha methali za std 4 humu....
Haha haaaa naona hadi chinga kaja kutukumbusha methali za std 4 humu....
Ha ha ha!!umenifurahisha!!Thubutuuu chupi kunuka anajua vigodoro tu na majibu ya shombo!!ukimtoa out atakwambia jamani siri kitu au nafunga ila chips kavu tu chenji naomba nkanunue voucher!!.Tatizo bundle that's y hawakauki hapa...
kuleta Tshirt katika viwango vya USA.
Mkuu mbili tafadhari XL na L.
Ha ha ha!!Ina maana ana ulafi pia anakuwa amepata kwa kuponea!!Kama namwonaa vile naomba na Azam kubwa,na soda na maji ya Kilimanjaroo!!Haa akitoka hapo anaimba kale kawimbo kao kwa chini chini tayari ina mdefine ni mtu wa namana gani!!So u mean wana njaa ya bundle?!haaaHehehe. .au akiamua kula hapohapo utamsikia. .mimi chips,mishkaki mitatu,sausage mbili,firigisi na kuku nusu. ...anacheza tu na shombo kama mashindano
nitafute umaarufu?umaarufu kwa watu nisiowajua wala ambao hawanijui,kama nna shida ya umaarufu ntatafuta mtaan kwetu lakini cyo huku ambapo id yangu n ya uongo na hata sura yangu haionekani
Kiba keshakwama!!
teh teh
Sasa ndo tushajua tofauti ya Jumlisha na Msalaba!!
kiba ana promotiwa kwa bundle ha ha ha watoto wa first na second year macho yame watoka kutwa jamvini kudiscus watu mradi tu wajaze page......."mental slavery".
kiba ana promotiwa kwa bundle ha ha ha watoto wa first na second year macho yame watoka kutwa jamvini kudiscus watu mradi tu wajaze page......."mental slavery".
Naomba nikupe ushauri wa bure dogo, heshima ni kitu cha bure kabisa thread hii ina Tbs zote na uongozi wa JF umetoa baraka zake, sasa kama umeamuwa kututukana watu kwa ujumla wetu akiwemo Moderator wa JF ambaye uongozi umemteuwa kwamba sisi ni slave wewe ndio una akili si ndio?
Sasa unapaswa kuomba radhi hapa maana report abuse ili upigwe ban siyo malengo ya thread hii hapa ni uwanja wa wastaarabu.
Na kwa wale wanaoumia roho sasa nunuweni Jiki muweke standby kuzinywa, tukitoka page ya 100 sasa tutaingia phase 2 na promo za kufa mtu kama Tshirt za Kiba bure, Flash disc, Cd za Ally Kiba na Vitop vya Kiba for our Dadaz.
All under Matola sponsorship.
Le gardem Mburulaz!!Mazafanta We katoto u r too low to share anything with me zaidi ya hili jukwaa!!Umeumia baada ya kukalia mkuki kwa kuzani ni dudu!!Kauze huko kwenye uzi wenu wa kikenge!!le gardem mnuka chupiiii!!
Le gardem Mburulaz!!Mazafanta We katoto u r too low to share anything with me zaidi ya hili jukwaa!!Umeumia baada ya kukalia mkuki kwa kuzani ni dudu!!Kauze huko kwenye uzi wenu wa kikenge!!le gardem mnuka chupiiii!!
Huyo kapiniki achana naye anatumia njia siyo kiba kawakamataje hadi wamepaniki badala waende kwa domo
Yani mtu mzima na Mavudz yako unajisifia uwezo wa kutukana!!haaa!!Jamani mashabiki wa Diamond hizo stress zenu katoleeni ktk uzi wenu mliofungua kule!!Maana mmetukana sana kule,kukosoa sana na kutoa shombo za kila namna!ukinifata huku kuntupia utumbo nakutupia mavi ya bata!!Mburulazz nyoote nyie mnaotaka uzi huu ufungwe!!Jiburudisheni na kimasomaso!!Hapa mtakujaaa tuuu!!na mtatukuta tupo fullluuu tunapongezana na kupeana zawadi kem kem
Kwa heshima yako Diva wa ukweli na heshima yangu juu ya Kiba naachana na huyu Katoto mnuka k,ashazoea kusagwa na kukobolea ndo maana anakuja kujitongozesha kwangu!!Ila nasemajeee hapa lazima mjeeee!Utam wote,raha zote na masham sham ya u kweli yapo kwa Kiba!!