Habari...mkuu matola nashindwa kukuelewa mara moja madhumuni yako kuanzisha thread hii ikiwa naona wazi hutekelezi malengo yake ipasavyo maana huko mwanzo niliquote kwenye comment yangu moja nikakwambia "KUWA SIO KILA VIEWERS WANAOINGIA KWENYE HUU UZI WETU NI JF MEMBERS NA PENGINE HAWAJUI PAKUPATA ILE LINK YA AFRIMMA AWARDS...HIVYO FANYA KURAHISISHA MAMBO HAPO KWA KUONGEZEA HII LINK http://afrimma.com/nominees-2015/ YA AFRIMMA KWENYE POST YAKO HAPO JUU,PIA WEKA NA YA "AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS" then weka na statement ya kuhamasisha kuvote,Pleaz!...do it for the
#KINGKIBA .